Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi mwandishi gani wa TBC yuko kwenye msafara wa Dr SLAA,? maana, lipumba ameambatana na NOELI MWAKALINDILE, Kikwete amepewa pia mwandishi.Naombeni msada wenu .
hapo ndipo utagundua kwamba Slaa kawachanganya kwelkwelDaah labda ni mwandishi ambaye ndio alikuwa amechukua likizo yake ya mwaka wakamuomba aambatane na Slaa wakati wa likizo, hivo hatakiwi kufanya kazi yake.
Atakuwa mariniiiiiiiiiiii hasani mariniiiiiiiiiiiii
Juzi mwandishi wa tbc mkoani manyara aliripoti kuhusu kuharibika kwa chopa , lakini hakuripoti kuhusu mkutano wa chadema ,yaani ukistajabu ya tbc utayaona ya ccm
Juzi mwandishi wa tbc mkoani manyara aliripoti kuhusu kuharibika kwa chopa , lakini hakuripoti kuhusu mkutano wa chadema ,yaani ukistajabu ya tbc utayaona ya ccm