Elections 2010 Mwandishi wa Uganda asema Kikwete aliiba kura

Elections 2010 Mwandishi wa Uganda asema Kikwete aliiba kura

Hivi kama mtu hajafikisha mwezi humu hastaili kutoa mawazo yake??? Maana hili nimeliona kwa wengi.. utakuta ohh una thanks 0 mara hivi mara vile...

sometimes ni jokes usiogope mdau.....
 
hahahaha,magazeti ya ukweli yote ya tz yanatoka kesho so tusubiri tuone kama wata jiuma uma au watasema ukweli
 
Huyu Katunzi aliiuangalia uchaguzi wetu kwa jicho la wazi lisilokuwa na upande wala makengeza. Correct by 100% +
 
Kitu cha ukwaomba CHADEMA ni kutuambia kura za DR.Slaa according to Mawakala wa Chadema.Ili tujue kaiba kiasi gani mfano mzuri ni Nyahwale na Geita kwa vile nec hawana akili timamu na wao wanatangaza matokeo kama walivyoletewa na Wakurugenzi basi huwa hata hawafikirii itakuwaje matokeo ya vituo viwili yawe sawa sawa kwa figure zote.Baada ya DK kulipua wakabadilisha na kukubali kushindwa.Chadema kama mlivyoahidi wapelekeni mahakamani hawa nec ili ijulikane ingawa rais jk keshaapishwa.Safi sana mwandishi wa Uganda.Waandishi wengi wa Tz ni kama katuni la kenya lilivyosema wana m...a jk.
 
Mr katuzi ameandika ukweli lakini kasahau aliyoyasema Jk alipozomewa Bukombe kwamba "hata kama hamnitaki nitakuwa rahisi tu" kwa vile alijua ataiba kura
 
Kikwete ni neema kwa mafisadi na ndiyo maana vyombo vyote vilivyonunuliwa na mafisadi na ccm kama clouds,habari leo,mtanzania al nuur,al huuda, na vikarasgosi vingine haviwezi kusema chochote mpaka tusemewe na majirani zetu tuliowalea kwa muda mrefu waganda................watz wako wapi?...............
 
Waandishi wa habari wa TZ sasa wanaangalia masilahi (labda kuna ambao sasa wajazwa mahela kwa kunyamazia uchafu huu) wacha mganda alonge. huo utabakia kuwa ukweli ambao waandishi wa TZ wanaufahamu lakini hawataendelea kuusema! Asane Jirani!
 
Thats the naked truth. Our Journalist don't have the cojoness to write about this. They're are all kissing CCM's asses.

It's because the "journalists" are all working for businesses that have direct ties with CCM.

I've said this before and I'll say it again: CCM is the cancer of Tanzania.
 
Waandishi wetu Ben Mkapa aliwaita Makanjanja na alisema hakuna wa kuweza kumuhoji yeye, ikimaanisha wako chini ya kiwango.

hivi kipindi kile kubenea, ulimwengu, ndimara walikua hawajaanza uandishi eeeh?
 
Safi saaana jamaa kamchana kikwete na wenzake na ndio ukweli safari ngumu ya miaka mitano ndio inaanza na bado dr slaa hajaongea utaona jinsi moto utakavyowaka. Wandishi wetu siyo wandishi ni vibweka except generali ulimwengu's team, rioba, na mwanahalisi's team najua hawa watalipua mabomu na hapatakalika hapa. Manake jk atataka kulipiza visasi na nguvu ya umma haitakubali itamkunjia uso. Kwanini uibe kuraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa?
 
Pia tusisahau kuwa Tume ya Uchaguzi imesema Raisi wetu Jakaya Kikwete kitakwimu amechaguliwa kwa asilimia(%) 27 tu ya watu waliojiandikisha kupiga kura, kama Prof. Lipumba alivyobainisha pia mapungufu makubwa ktk zoezi zima la uchaguzi wa 2010 ktk hii video clip ya 'pongezi':
 
Last edited by a moderator:
Well done waandishi wetu where are you achaneni na habari za chenge kwanza mnavyomwandika andika mna mpa ujiko andokeni mambo yanayoliumiza taifa na kulikandamiza matokeo yake mnaitwa na chenge kwenye press conference mnamuuliza ajali za barabarani mnaacha kumuliza maswala ya vijisent, rada na uchawi bungeni na mengi zaidi your not critical analysist

mzee gomezi
 
Huyo mwandishi ni mchochezi ,awapendi kuona Tanzania tunaishi kwa amani,wanatuonea gere.

tafuta mtandio au khanga kaa kibarazani piga umbea na wenzio humu hakukufai unajiabisha
 
the observer - pius katunzi: Kikwete

haya jamani, waandishi wa tanzania mko wapi? Mnashindwa kuwa na ujasiri na kusema wazi kuwa kikwete aliiba kura na ushindi wake ni batili mpaka msaidiwe na majirani zetu wa uganda? Ni uoga, kukosa ujasiri au mmepewa chochote kitu mkae kimya? Sasa hivi waandishi wa bongo wamesha sahau scandal kubwa ya wizi wa kura na badala yake wako bize kudakia mbio za uspika, waziri mkuu mpya, baraza la mawaziri, etc.

makampuni mengi ya habari yana uhusiano moja kwa moja na ccm ukiachana na kampuni za habari za serikali
 
Mwambieni huyo P. Katunzi kama kweli yeye ni jasiri aandike mambo ya M7... Mbona wao wako na dikteta kwao na wanashindwa kumuandika kama wanavyoshadadia mambo ya nchi jirani??

Two wrong do not make right brother................
 
Just liked it even if it doesnt change anything. Ama kuhusu TZ makanjanja Ben was right! Senior editor anapewa maswali ya kuuliza kwenye conference ya candidate, yalikuwa maajabu ya nane ya dunia!
Unategemea nini kutoka RAI, mtanzania uhuru and the like? Ni aibu tupu! Unafikili Balile, Manyerere, Salva, Gideon shoo, Muhingo na taka taka hizo zote unazofahamu, wanaweza kuwa competitive kwenye soko la uandishi wa habari wa kweli?! Natamani ningekuwa mwandishi wa habari!
images
 
Huyu Mkwere itabidi aunde serikali ya kitaifa
 
Back
Top Bottom