Mwanya, Uzuri wa asili

I like mwanya.ukiongezea na uchesi, tabasamu. Wee! Hata Mwamvita haoni ndani!
 
Akiwa na mwanya na dimples anakuwa mrembo zaidi!

...e bana wee! halafu umeshtukia wengi wenye mwanya lazima watakuwa na Dimples hata kwa mbali? Chunguza!


...woowww, lazima kwenye familia yenu ni urembo kwa kwenda mbele. Big Up!


...Jamani BJ na Lizzy mbona mmeninyong'onyesha hivyo? Naamini kama hujajaaliwa mwanya, basi uwe umejaaliwa unywele wa singa-asilia kichwani! ...me luv it sooo much, ...if you have it, flaunt it!
 

...Oh Noo! ...WoS hapa I reserve my comments :tape:

Mbu wengine wana mwanya utadhani mapengo

..mnh, huo ndio tunaouita "uchochoro!," Lol!


...flaunt it bana, jivunie urembo asilia huo!

Itabidi nikachonge meno pale Butiama kwa Mwalimu Nyerere kama ndo hivi ....Mbu

...usijali 1stLady, hiyo singa kichwani ni kivutio tosha na mwenyewe uiachiavyo mpaka mabegani, mnh!
You are blessed!

Okay, sasa mimi nataka kuona vidole vyako vya miguu na vya mikononi

...Lahaula! No Comment.
 
Mbu kama nywele za singa kwa lugha ya kwetu ni kipilipili nimefurahi sana na kesho napaka mafuta niziache wazi bila kufunga kilemba.
 
Watu wenye dimples nilokutana nao wengi wako so loving, sina maana ya opposite sex ila wote wananivutia sana. Dimples inafanya mtu aonekane innocent fulani, yaani kama mtoto vile. Tulivyokuwa wadogo tulikuwa tuna amini dimples zinatokana na mtoto kupendwa sana na wazazi na wakubwa wake. Na tuliamini wanapata last borns. Msidhani najisifia mwenyewe. Kwa ufupi sina mwanya wala dimples. Ila najiamini bado ninalipa!
 
...If you have it, flaunt it!...Kina dada na nyie mna maoni gani kwa wanaume wenye Mwanya?

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…