Mwanya, Uzuri wa asili

Mwanya, Uzuri wa asili

Kwani uzuri wa mwanya ni nini? Mbu kwa nini unapenda mwanya wa mpenzi wako? Labda tuanzie hapo. Tukishajua nini uzuri au matumizi au kinafanya watu wanaopenda mwanya wapemde mwanya ndo tuangalie kama hizo sababu haziapply kwa mwanaume kabla ya kujudge kama mwana ni urembo na kama ni mwanamke pekee anayefaa au pendeza kuwa nao.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Shantel una mambo!!! Aiii! Mi ctaki. Nnao mwanya lakini cupendi! Lol uko kama pengo kweli cupendi
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Kwani uzuri wa mwanya ni nini? Mbu kwa nini unapenda mwanya wa mpenzi wako? Labda tuanzie hapo. Tukishajua nini uzuri au matumizi au kinafanya watu wanaopenda mwanya wapemde mwanya ndo tuangalie kama hizo sababu haziapply kwa mwanaume kabla ya kujudge kama mwana ni urembo na kama ni mwanamke pekee anayefaa au pendeza kuwa nao.
Shantel una mambo!!! Aiii! Mi ctaki. Nnao mwanya lakini cupendi! Lol uko kama pengo kweli cupendi

LOL,...e bana wee....Mwj1 nimetuma application letter kwa fax,....isubirie hapo hapo, kumbe nawe una mwanya ee?
Sasa nikujibu nini mie ilhali tayari majibu nishayabainisha hapa;

images

...Big up kwa wanawake warembo wa JF wenye mwanya (kama mpo, ni warembo mjitambue.) W'wake wenye mwanya Mnapendeza sana. Halafu, wote niliobahatika kukutana nao (wenye mwanya-mdomoni) ni warembo tosha.

Nini mtazamo wako?

Should I say more? hapana mengine acha niyahifadhi moyoni kwa matumizi ya baadae. Kwasasa acha nivute kiti sawa hapa nikivutia taswira hayo ulojaaliwa mashaallah!
 
LOL,...e bana wee....Mwj1 nimetuma application letter kwa fax,....isubirie hapo hapo, kumbe nawe una mwanya ee?Sasa nikujibu nini mie ilhali tayari majibu nishayabainisha hapa;Should I say more? hapana mengine acha niyahifadhi moyoni kwa matumizi ya baadae. Kwasasa acha nivute kiti sawa hapa nikivutia taswira hayo ulojaaliwa mashaallah!
Hahaha kwa vile nmesema nnao lol langu mie pengo Mbu! Kweli cupendi. Ah mbona hujanjibu kwa nini waupenda au nini kikupendezacho kwa mtu mwenye mwanya? Je wapenda tu uona unavyowaka akicheka, je una matumizi yake maalum kunako zizini, au ? Nini hasa chakufanya we upende mwanya?Huu wa pichani huu, nataman ngeupata mie, ngewekea bima tabasamu langu!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Hahaha kwa vile nmesema nnao lol langu mie pengo Mbu! Kweli cupendi. Ah mbona hujanjibu kwa nini waupenda au nini kikupendezacho kwa mtu mwenye mwanya? Je wapenda tu uona unavyowaka akicheka, je una matumizi yake maalum kunako zizini, au ? Nini hasa chakufanya we upende mwanya?Huu wa pichani huu, nataman ngeupata mie, ngewekea bima tabasamu langu!

mnhh, we unataka huu unyuzi upelekwe jukwaa la wakubwa si ndio?
siri naijua mie...x
 
mnhh, we unataka huu unyuzi upelekwe jukwaa la wakubwa si ndio?siri naijua mie...x
Mh kipi nlichosema cha ajabu wajameni? Au hayo majibuyo ya maswali yangu ndo yangeupeleka uzi huu kule? Haya basi naishia hapa!Haya mwanya uzuri wa asili ingawa kuna watu wanaouziba!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Kuna mi anya mingine kama uchochoro
Thats what am talking about Shantel........yaani wangu uko eklsaktili kama mojawapo wa chochoo za Mji Mkongwe Zanziba....huwezinkuta nacheka pasipofunika na kiganja mwe!!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mh kipi nlichosema cha ajabu wajameni? Au hayo majibuyo ya maswali yangu ndo yangeupeleka uzi huu kule? Haya basi naishia hapa!Haya mwanya uzuri wa asili ingawa kuna watu wanaouziba!
.......Said I loved you but I lied, This is more than what I feeI inside.......Michael Bolton, Soul Provider.
...Wow, Mwj1 nimeipenda signature yako mpya. ngoja sasa nipekue kwenye kapu huo wimbo na Lyrics zake.
 
.......Said I loved you but I lied, This is more than what I feeI inside.......Michael Bolton, Soul Provider.
...Wow, Mwj1 nimeipenda signature yako mpya. ngoja sasa nipekue kwenye kapu huo wimbo na Lyrics zake.

Hahahaha Mbu ukiona hivyo ujue Moyoni niko High.........si kwa Drugs wala Alcohol but L.O.V.E
Naelea hewani loh!! ...................... nipe dawa ya kudilute maana nakuona weye siku hizi umem'cool' si kama mwanzo ulipompata 'Soulmate' wako!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mhhhhh! This thread is still going strong 🙂



Benny Benassi- Beautiful People Lyrics (Feat Chris Brown )
Everywhere everywhere
Everywhere I go
Everywhere that i've been
The only thing I see is
Is beautiful people
Beautiful people
Beautiful people
Beautiful people
Don't you know don't you know
You're beautiful don't you know
Don't you know don't you know
Beautiful don't you know know know
Live your life live your life
Let the love inside
It's your life it's your life
Got to play it right
Take your time take your time
Take your sexy time
Lose your head lose your head
Your beauty it's inside you
Inside you
Don't let ‘em bring you down no
The beauty is inside you
Don't let ‘em bring you down
Cos you start your life today
Live any thoughts you've dreamed off
Everywhere everywhere
Everywhere I go
Everywhere that i've been

The only thing I see is
Is beautiful people
Beautiful people
Beautiful people
Beautiful people

Don't you know don't you know
You're beautiful don't you know
Don't you know don't you know
Beautiful don't you know know know
Take your time take your time
Take your sexy time
Lose your head lose your head
Your beauty's deep inside
Inside you
Don't let ‘em bring you down no
Your beauty is inside you
Don't let ‘em bring you down no
The beauty is inside you
Don't let ‘em bring you down
Everywhere everywhere
Everywhere I go
Everywhere that i've been
The only thing I see is
Is beautiful people
Beautiful people
Beautiful people
Beautiful people
Don't you know don't you know
You're beautiful don't you know
Don't you know don't you know
Beautiful don't you know know know
[Benny Benassi- Beautiful People Lyrics (Feat Chris Brown )]
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom