Mwanza: ACT Wazalendo wanyang’anywa ofisi na Wafuasi wa CUF

Mwanza: ACT Wazalendo wanyang’anywa ofisi na Wafuasi wa CUF

CUF wanarudi kwa kasi sana.

Sijui ni nini kimetokea kati ya CCM na ACT wazalendo?!
Jibu liko katika swali, je dereva ana asili ya wapi na kafu ina nguvu wapi? Mwisho dereva na kafu wote wanatoka kule ambako wakifa watapewa mabikira sita.
 
CUF wanarudi kwa kasi sana.

Sijui ni nini kimetokea kati ya CCM na ACT wazalendo?!
Juma duni haji anataka katiba mpya na tume huru ya uchaguzi..vitu ambavyo chama cha majizi hakutaki kusikia..so wameqnza kuwekeza upya cuf ili wapotoshe hoja ya katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom