Mwanza airport receives PAX more than a total of Eldoret n Kisumu International airports

Mwanza airport receives PAX more than a total of Eldoret n Kisumu International airports

kwani huoni uwanja ukifanya kazi? mbona swali la kipoyoyo?

[emoji3][emoji3] wewe jamaa bana majibu yako huwa ya ajabu kweli. Mimi nimeuliza maendeleo ya ujenzi wa uwanja mpya? Mbona unakua sio muungwana ndugu yangu? Kuuliza sio ujinga ila jibu linaweza kua la kijinga kama hilo lako


Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwani umeambiwa Mbeya haina potential? Mwanza na Mbeya wapi kuna fertile soils? Uvuvi Lake Nyasa? Ubaya wa uwanja wa Songwe Mbeya ni rushwa ya serikali ya Kikwete ila kuna potentials kubwa sana kule hata kwa madini tofauti tofauti japokuwa dhahabu ni kidogo na the area is general underexplored n -exploited!
Nimekuelewa mkuu wangu

Typed Using KIDOLE
 
Nimekuelewa mkuu wangu

Typed Using KIDOLE




Msikilize jamaa wa Zambia anavyoongea kuhusu utegemezi wa Zambia kwa Nakonde border!




Kama si rushwa na uzembe wa serikali ya Kikwete kuipa briefcase company ya Kenya kujenga uwanja wa Songwe na kuboronga uwanja wa Songwe ungekuwa uko busy by now! Angalia ramani ya Zambia the whole of Northern hamna international airport! One has to go to Ndola or Lilongwe for Malawi to go abroad! Sasa ukiacha logistic potentials na ukiunganiasha agricultural, fishing na mining activities, horticulture n floriculture za Mbeya, Zambia na DRC na incoming Mtwara Development Corridors na tourism Selous,Katavi n Kitulo NP n Kalambo falls, ule uwanja upo strategic kuliko maelezo!

zambia-airports-map.jpg


malawi-airports-map.jpg


zambia-map.gif
 


EYkpvsNUMAAFOAK


EYkpz8BU0AIsuWf


EYkqAigU4AQKoC4


MY TAKE
Can dreamliner lands at Kisumu airport?
 



Msikilize jamaa wa Zambia anavyoongea kuhusu utegemezi wa Zambia kwa Nakonde border!




Kama si rushwa na uzembe wa serikali ya Kikwete kuipa briefcase company ya Kenya kujenga uwanja wa Songwe na kuboronga uwanja wa Songwe ungekuwa uko busy by now! Angalia ramani ya Zambia the whole of Northern hamna international airport! One has to go to Ndola or Lilongwe for Malawi to go abroad! Sasa ukiacha logistic potentials na ukiunganiasha agricultural, fishing na mining activities, horticulture n floriculture za Mbeya, Zambia na DRC na incoming Mtwara Development Corridors na tourism Selous,Katavi n Kitulo NP n Kalambo falls, ule uwanja upo strategic kuliko maelezo!

zambia-airports-map.jpg


malawi-airports-map.jpg


zambia-map.gif
Very very strategic man...nmeangalia ramani ndo nmepata picha zaidi...Hapo Border country zote capital cities ziko mbali na mbeya..tht means mbeya could save as capital to those other towns near..it
1..We need to properly manage Songwe..airport..sijajua tatizo lake ni lipi haswa maana runway ipo..terminal building bado phase 2 kuisha frsh, ikipata na Cargo terminal kama ya Mwanza /KIA..basi hapo mazao yote ya Zambia,Drc , Malawi mpakan..na Mbeya ,Rukwa, Ruvuma yatatumia Songwe International...

2..Mbeya zonal hospital has been gradually expanded which is nice ..considering hamna zonal hospital kubwa kama hyo in those regions

3.With completion of Western circuit roads that are U/C currently...toursim will improve massively

4.Tuongeze tu uwekezaji sisi individuals kwa kulima Maparachichi, Maua , Matunda mengne , na Uvuvi Nyasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom