Number ni 26
JF-Expert Member
- Apr 3, 2019
- 1,573
- 3,088
Ndo maana yakeUmesema mboga ya chainizi? Au sijaelewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo maana yakeUmesema mboga ya chainizi? Au sijaelewa
Hapana adhibiwe sio vizuri kula chakula chote hichoo , kingine ni hivi usimuadhibu mtoto hadi kero unamuita unampiga kwa kiasi ila lazima umuadhibu maana atakuwa anafanya hivyo na mtakosa muelekeo, lazima achapwe ajue kakosa akitaka chakula asubirie kupakuliwa mezani au apewe kidogo au kitu kingine mpaka watu wote waje mezani .Ni lana kweli,kijana wangu jana tu katafuna nusu kilo nzima ya kitimoto,
Kazuga kufichaficha ila mi najua kala kiasi gani.
Sasa utampiga?
Ni mwanao nikacheka tu kula kilichobaki basi hata sijauliza.
Mwanangu kala kitu changu hasa chakula.
Si chake nayeye pia.
Kanda ya Ziwa si ndio Kuna sengerema? Ndio sababu watu wa huko wengi wao ni wasengerema 😂😂JESHI la Polisi mkoani Mwanza linamshikilia, Maneno Thomas (35) mkazi wa Chamagati, wilayani Sengerema kwa tuhuma za kumchoma mikono mtoto wake kwa maji ya moto baada ya kumtuhumu kudokoa mboga ya majani aina ya chainizi.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo Kamanda wa Polisi Mkoa Mwanza, Wilbroad Mtafungwa, ameeleza kuwa mtuhumiwa huyo alitenda kosa hilo Julai 30, 2023, baada ya kutoka katika shughuli zake.
Mtafungwa ameeleza kuwa mtuhumiwa alipofika nyumbani kwake alimwambia binti yake aitwaye Prisca Maneno (11), apike chakula cha usiku ndipo alipoelezwa kuwa hakuna mboga, kwani ililiwa na mdogo wake Daniel Maneno (9), ambaye anasoma darasa la pili Shule ya Msingi Mtakuja.
"Maneno Thomas alishatengana na mkewe kutokana na vitendo vyake vya kipigo cha mara kwa mara na mwanamke aliamua kuondoka," amesema Mtafungwa.
Amesema mtuhumiwa aliwasha moto kisha kuchemsha maji yalipochemka, alimuita mwanae Daniel Maneno na kumwagia maji hayo katika mikono yake yote miwili na kumsababishia maumivu makali.
Anasema baada ya kufanya tukio hilo mtuhumiwa aliamua kumfungia mtoto huyo chumbani kwake na wananchi wa eneo hilo walishtuka kutomuona mtoto Daniel siku mbili mfululizo, ndipo walipoanza kufatilia na kugundua amefanyiwa ukatili huo.
Imeandaliwa na Cyprian Magupa, Mwanza .
Sources Via Habari Leo
Angeuwawa kwa kuchomwa na kitu chenye ncha kali.Angekuwa kala mshikaki sijui angemfwanyaje
Kakimbia udhalilishaji na vipigo, sasa vp kuacha wtt wadogo kwa shetani kama huyo!!!? Hana akiliWhy not? Huyo baba hao si watoto wake pia?