Mwanza: Amchoma mkono Mwanaye kisa kudokoa Chainizi

Chainizi fungu 200, baba la ovyo kweli, hasa mtoto akale wapi? Huyo ni mkorofi wa asili tu.
 
Mh kanda ya ziwa hivi chainizii ni kitu ya kunyimana
 
Hapana adhibiwe sio vizuri kula chakula chote hichoo , kingine ni hivi usimuadhibu mtoto hadi kero unamuita unampiga kwa kiasi ila lazima umuadhibu maana atakuwa anafanya hivyo na mtakosa muelekeo, lazima achapwe ajue kakosa akitaka chakula asubirie kupakuliwa mezani au apewe kidogo au kitu kingine mpaka watu wote waje mezani .
 
jamanii wazazi wengine hawakupaswa kuwa wazazi jamani khaa
 
Kanda ya Ziwa si ndio Kuna sengerema? Ndio sababu watu wa huko wengi wao ni wasengerema 😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…