Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Amani iwe kwenu watu wa MUNGU MWENYEZI
Kamanda mtafungwa ndo kayasema hayo
Japokuwa maelezo ya kamanda hayajitoshelezi lakin ndo kasema hivyo
===============
Wanafunzi wawili wa Shule ya Blessing Modern iliyopo Nyasaka wilayani Ilemela jijini Mwanza wametekwa na kupelekwa kusikojulikana na mtu ambaye hajafahamika mara moja wakiwa kwenye basi la shule wakienda shuleni.
Wanafunzi hao ni Magreth Juma (8) mwanafunzi wa darasa la pili mkazi wa Hesawa Capri Point na Fortunata Mwakalebela (5) mkazi wa Bugando jijini humo.
Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbdroad Mutafungwa amesema tukio hilo la utekaji limetokea leo Jumatano Februari 5, 2025 saa 12 asubuhi eneo la Nasa Drive Capri Point jijini Mwanza wakati wakiwa kwenye basi la shule Toyota Hiace.
Akitoa taarifa ya tukio hilo mbele ya waandishi wa habari, Mutafungwa amesema mtekaji huyo licha ya kutofahamika, alipewa lifti kwenye basi hilo la shule lililokuwa na wanafunzi sita (mmoja wa chekechekea na watano wa msingi) na matroni, kisha kufanya tukio hilo.
LONDON BOY
Kamanda mtafungwa ndo kayasema hayo
Japokuwa maelezo ya kamanda hayajitoshelezi lakin ndo kasema hivyo
===============
Wanafunzi wawili wa Shule ya Blessing Modern iliyopo Nyasaka wilayani Ilemela jijini Mwanza wametekwa na kupelekwa kusikojulikana na mtu ambaye hajafahamika mara moja wakiwa kwenye basi la shule wakienda shuleni.
Wanafunzi hao ni Magreth Juma (8) mwanafunzi wa darasa la pili mkazi wa Hesawa Capri Point na Fortunata Mwakalebela (5) mkazi wa Bugando jijini humo.
Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbdroad Mutafungwa amesema tukio hilo la utekaji limetokea leo Jumatano Februari 5, 2025 saa 12 asubuhi eneo la Nasa Drive Capri Point jijini Mwanza wakati wakiwa kwenye basi la shule Toyota Hiace.
Akitoa taarifa ya tukio hilo mbele ya waandishi wa habari, Mutafungwa amesema mtekaji huyo licha ya kutofahamika, alipewa lifti kwenye basi hilo la shule lililokuwa na wanafunzi sita (mmoja wa chekechekea na watano wa msingi) na matroni, kisha kufanya tukio hilo.
LONDON BOY