Don Masanja
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 273
- 251
MutafungwaHuyo Mtafungwa bado yupo ofisini au kashafungwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MutafungwaHuyo Mtafungwa bado yupo ofisini au kashafungwa?
Ila matron aliwezaje kuruhusu mtu asiye mjua kupanda gari la shule?Unawezaje kuchanganya mtu asiyejulikana na watoto wa shule, dereva mpumbavu sana.
Wanastahili adabu ya kifo ama kifungo cha maisha wakipatikanaLoading…
www.mwananchi.co.tz
Muktasari:
- Tukio hilo limetokea saa 12 asubuhi ya leo Jumatano Februari 5, 2025 eneo la Kapri Point jijini Mwanza baada ya mtuhumiwa kupewa lifti kwenye basi la shule lililokuwa limewabeba wanafunzi hao kuwapeleka shuleni.
Sana mkuuInasikitisha sana mtumish
Unaambiwa ni kawaida yao kupakiza abiria na wwnafunzi..na sio hao tu kuna baadhi ya school bus madereva wao wanapakiza abiria wanaokota buku buku hizo..wengine wanalipwa kwa mweziKamata hiyo matron a dereva weka ndani? Yani wazazi walipie usafiri wa watoto wao halafu wewe utoe lift?
Halafu hapa kuna dots haziungi. Kama ni saa 12 asubuhi na watoto wamepanda bus kwenda shule na bus lina dereva na matron maana yake hapo ilitakiwa watoto washukie shuleni na sio sehemu nyingine.
Je huyo mtekaji ameshukaje na hao watoto kabla yakufika shule? Matron na dereva walishikiwa bunduki?
Hao wajinga wawili wafinywe waeleze watoto walipo.
Kama hajala njama basi ni mwendelezo wa ushamba wao.Unawezaje kuchanganya mtu asiyejulikana na watoto wa shule, dereva mpumbavu sana.
Huu ni wendawazimu kabisa. Ina maana hakuna public transportUnaambiwa ni kawaida yao kupakiza abiria na wwnafunzi..na sio hao tu kuna baadhi ya school bus madereva wao wanapakiza abiria wanaokota buku buku hizo..wengine wanalipwa kwa mwezi