Mwanza: aomba rift kwenye gari la shule na kuwateka watoto wa chekechea, ataka hela ili awaachie

Nahisi mtoa mada kasema kabisaa "Maelezo ya afande hayajitoshelezi"
Angeongezea tuu "Hayajitoshelezi na nusu"
 
Dereva na matron ndio watekaji wenyewe wanyooshe tu maelezo.
 
Wametekwa watoto je matron na Dereva hawakutekwa? na kama ndio ilikuwaje watoe maelezo vizuri hao
 
Maoni binafsi:

1. Mtekaji movie zinamdanganya. Atakamatwa. Ata wazungu wenyewe kutoka for ramson money waliacha.

2. Matron na Dereva imekula kwao.

3. Naamini Askari wanajua wanachofanya. Watafanikiwa.

4. Mtekaji usiwadhuru watoto physically wala psychological. Wape chakula pesa yako utapata.

5. Case za utekaji wa aina hii uwa zinaisha vibaya sana.

6. Pole kwa wazazi na ndugu.

7. Sheria itungwe, kila school bus liwe na Camera.
 
Unatoaje lift kwa bus la shule?
Dereva nae ana kesi ya kujibu
Kazi yake ni kuhakikisha usalama wa watoto, kuwapeleka shule na kuwarudisha
Sasa inakuwaje unabeba stranger au anamjua na wamepanga haya
 
Unaambiwa ni kawaida yao kupakiza abiria na wwnafunzi..na sio hao tu kuna baadhi ya school bus madereva wao wanapakiza abiria wanaokota buku buku hizo..wengine wanalipwa kwa mwezi
 
Unaambiwa ni kawaida yao kupakiza abiria na wwnafunzi..na sio hao tu kuna baadhi ya school bus madereva wao wanapakiza abiria wanaokota buku buku hizo..wengine wanalipwa kwa mwezi
Huu ni wendawazimu kabisa. Ina maana hakuna public transport
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…