KERO Mwanza: Barabara ya Mtaa wa Buganda, Kata ya Mkolani ni mbovu kupitiliza, Uongozi wa Mtaa unachangisha lakini matengenezo hayafanyiki

KERO Mwanza: Barabara ya Mtaa wa Buganda, Kata ya Mkolani ni mbovu kupitiliza, Uongozi wa Mtaa unachangisha lakini matengenezo hayafanyiki

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Mtaa wa Buganda, Kata ya Mkolani, Wilaya ya Nyamagana - Mwanza. Barabara ya Mtaa ni mbovu sana, watoto wanateseka kwenda shule, watu wenye magari hawayatumii tena, Bodaboda wamepandisha nauli kutoka Stendi ya Nyegezi hadi mtaa huo kutokana na barabara kuwa mbovu.

Uongozi wa mtaa unachangisha fedha kwa baadhi ya kaya lakini hatuoni kinachofanyika, tunaiomba Serikali iingilie hili suala kwa kuwa fedha zinachangishwa lakini hakuna kinachofanyika ili kutusaidia Wananchi, tunapata wakati.

20241206_110831.jpg
20241206_110826.jpg
20241206_110806.jpg
20241206_110754.jpg
20241206_110742.jpg
20241206_110736.jpg
 
Back
Top Bottom