Mwanza: Binti anayesoma wa kidato cha tano jijini Tanga auawa na mpenzi wake kisa wivu wa mapenzi

Mwanza: Binti anayesoma wa kidato cha tano jijini Tanga auawa na mpenzi wake kisa wivu wa mapenzi

Amani iwe nanyi wapendwa katika BWANA YESU KRISTO

Hii tukio limetokea mwanza na kuthibitishwa na kamanda mtafungwa

Binti anasoma kidato cha tano huko mkoan Tanga

Apumzike kwa aman sana

Kijana mmoja kwa upumbavu wake kamuua mtoto wa watu kwa sababu za kijinga kabisa

Kama mapenzi yamekushinda au huyawezi achana nayo na ukitaka kufa sisi hatukatai bali kufa peke yako

Wakurya jifunzen achen ujinga wapuuz wakubwa nyie, mwingine mwaka juzi aliua binti wa watu kwa kumpiga risasi
==================
Mwanafunzi anayesoma kidato cha tano katika moja ya shule ya sekondari iliyopo mkoani Tanga, Benadeta Silvester (21) inadaiwa amefariki dunia baada ya kukabwa koo na mpenzi wake, Adamu Kailanga (30) kisha naye kudaiwa kujinyonga kwa mtandio kisa wivu wa mapenzi.

Taarifa ya Kamanda wa Polisi mkoani Mwanza, Wilbrod Mutafungwa iliyotolewa leo Jumatano Februari 5, 2025 imesema baada ya kupata taarifa, Askari walifika eneo la tukio na kukuta mwili wa mwanafunzi huyo ukiwa sakafuni na wa Adam ukining'inia juu ya paa la nyumba.

LONDON BOY
Dah yaani bado kuna wanaume wanaoteseka na mapenzi, fool of a took, ujinga ujinga tu

R.I.P wakusoma
 
Kuna tatizo kubwa kwenye malezi ya sasa wazazi mnatakiwa kujitathimini.
Huo uzungu mnao uendekeza kwenye malezi.
Sasa hivi unakuta binti wa kidato cha pili ana msururu wa wanaume tena wababa wazima na wazazi hawana hata muda wa kufuatilia mienendo ya watoto wao.
 
Kuna tatizo kubwa kwenye malezi ya sasa wazazi mnatakiwa kujitathimini.
Huo uzungu mnao uendekeza kwenye malezi.
Sasa hivi unakuta binti wa kidato cha pili ana msururu wa wanaume tena wababa wazima na wazazi hawana hata muda wa kufuatilia mienendo ya watoto wao.
 
Wivuuuuu mama Wivuuuuu ,Mapenzi mabaya mapenzi mabaya!! Kanda ya ziwa again kama yule Jamaa aliyempiga mkewe risasi na yeye kujimaliza.

Kwa Jinsi nilivyojifunza kwa kizazi hichi cha Carolight na Supra ni bora utafute hela kwanza uachane na mapenzi na ukitaka m/ke uwe atleast unajiweza ,ukijiweza m/ke anakuwa na discipline na m/me unakuwa hauna wivu wa kijinga.
 
Amani iwe nanyi wapendwa katika BWANA YESU KRISTO

Hii tukio limetokea mwanza na kuthibitishwa na kamanda mtafungwa

Binti anasoma kidato cha tano huko mkoan Tanga

Apumzike kwa aman sana

Kijana mmoja kwa upumbavu wake kamuua mtoto wa watu kwa sababu za kijinga kabisa

Kama mapenzi yamekushinda au huyawezi achana nayo na ukitaka kufa sisi hatukatai bali kufa peke yako

Wakurya jifunzen achen ujinga wapuuz wakubwa nyie, mwingine mwaka juzi aliua binti wa watu kwa kumpiga risasi
==================
Mwanafunzi anayesoma kidato cha tano katika moja ya shule ya sekondari iliyopo mkoani Tanga, Benadeta Silvester (21) inadaiwa amefariki dunia baada ya kukabwa koo na mpenzi wake, Adamu Kailanga (30) kisha naye kudaiwa kujinyonga kwa mtandio kisa wivu wa mapenzi.

Taarifa ya Kamanda wa Polisi mkoani Mwanza, Wilbrod Mutafungwa iliyotolewa leo Jumatano Februari 5, 2025 imesema baada ya kupata taarifa, Askari walifika eneo la tukio na kukuta mwili wa mwanafunzi huyo ukiwa sakafuni na wa Adam ukining'inia juu ya paa la nyumba.

LONDON BOY
Huyo Adamu Kailaga atakuwa Kobaaz tu katuulia mgalatia mwenzetu.

hydroxo gallow bird incharge Adiosamigo FaizaFoxy ITR inamankusweke gTurn

Nyau de adriz
 
Kuna kibinti kipo arusha,kinaniletea hizo hizo za marehemu,aiseee sema kinabahati,manake ningekuwa napenda kunyea debe mapema sana ningekipoteza nyambafu!
 
Back
Top Bottom