Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah yaani bado kuna wanaume wanaoteseka na mapenzi, fool of a took, ujinga ujinga tuAmani iwe nanyi wapendwa katika BWANA YESU KRISTO
Hii tukio limetokea mwanza na kuthibitishwa na kamanda mtafungwa
Binti anasoma kidato cha tano huko mkoan Tanga
Apumzike kwa aman sana
Kijana mmoja kwa upumbavu wake kamuua mtoto wa watu kwa sababu za kijinga kabisa
Kama mapenzi yamekushinda au huyawezi achana nayo na ukitaka kufa sisi hatukatai bali kufa peke yako
Wakurya jifunzen achen ujinga wapuuz wakubwa nyie, mwingine mwaka juzi aliua binti wa watu kwa kumpiga risasi
==================
Mwanafunzi anayesoma kidato cha tano katika moja ya shule ya sekondari iliyopo mkoani Tanga, Benadeta Silvester (21) inadaiwa amefariki dunia baada ya kukabwa koo na mpenzi wake, Adamu Kailanga (30) kisha naye kudaiwa kujinyonga kwa mtandio kisa wivu wa mapenzi.
Taarifa ya Kamanda wa Polisi mkoani Mwanza, Wilbrod Mutafungwa iliyotolewa leo Jumatano Februari 5, 2025 imesema baada ya kupata taarifa, Askari walifika eneo la tukio na kukuta mwili wa mwanafunzi huyo ukiwa sakafuni na wa Adam ukining'inia juu ya paa la nyumba.
LONDON BOY
Nawe unalialia sana mtoto wa kiume.
Huyo Adamu Kailaga atakuwa Kobaaz tu katuulia mgalatia mwenzetu.Amani iwe nanyi wapendwa katika BWANA YESU KRISTO
Hii tukio limetokea mwanza na kuthibitishwa na kamanda mtafungwa
Binti anasoma kidato cha tano huko mkoan Tanga
Apumzike kwa aman sana
Kijana mmoja kwa upumbavu wake kamuua mtoto wa watu kwa sababu za kijinga kabisa
Kama mapenzi yamekushinda au huyawezi achana nayo na ukitaka kufa sisi hatukatai bali kufa peke yako
Wakurya jifunzen achen ujinga wapuuz wakubwa nyie, mwingine mwaka juzi aliua binti wa watu kwa kumpiga risasi
==================
Mwanafunzi anayesoma kidato cha tano katika moja ya shule ya sekondari iliyopo mkoani Tanga, Benadeta Silvester (21) inadaiwa amefariki dunia baada ya kukabwa koo na mpenzi wake, Adamu Kailanga (30) kisha naye kudaiwa kujinyonga kwa mtandio kisa wivu wa mapenzi.
Taarifa ya Kamanda wa Polisi mkoani Mwanza, Wilbrod Mutafungwa iliyotolewa leo Jumatano Februari 5, 2025 imesema baada ya kupata taarifa, Askari walifika eneo la tukio na kukuta mwili wa mwanafunzi huyo ukiwa sakafuni na wa Adam ukining'inia juu ya paa la nyumba.
LONDON BOY
Kidato cha tano umri wake miaka 21 damu inachemka, anataka pia amiliki iphone.Kidato cha tano anajua hadi kuwapanga,.
Nasema nanyi wazazi mmejiziuka sana aisee
Semenya tupo kwenye huzuni wewe unaleta utani.Huyo Adamu Kailaga atakuwa Kobaaz tu katuulia mgalatia mwenzetu.
hydroxo gallow bird incharge Adiosamigo FaizaFoxy ITR inamankusweke gTurn
Nyau de adriz
Hao kuwa na wanaume 10 kitu cha kawaida,kufukuliwa mtaro kwao kawaida tuKidato cha tano umri wake miaka 21 damu inachemka, anataka pia amiliki iphone.
Mkuu. Kidato cha tano ni Around 17- 18yrs mpaka 19 wengine,. Lakini hatakama ni 21 bado malezi sio mazuri jamaniKidato cha tano umri wake miaka 21 damu inachemka, anataka pia amiliki iphone.
Mkuu language halafu kumbuka huyo binti alikuwa bado teenager na huyo me 30 yrs huoni.Hao kuwa na wanaume 10 kitu cha kawaida,kufukuliwa mtaro kwao kawaida tu
Ova