Mwanza: Binti anayesoma wa kidato cha tano jijini Tanga auawa na mpenzi wake kisa wivu wa mapenzi

Mwanza: Binti anayesoma wa kidato cha tano jijini Tanga auawa na mpenzi wake kisa wivu wa mapenzi

Binti anasoma Tanga, bwana ake anaishi Mwanza, huu ni mda wa shule, ameaga wazazi anaenda shule kumbe muongo anaenda kwa bwana ake huko mkoa mwingne

Hapo hapo anajua yeye sio muaminifu, alichopata kastahili, maana alikifuata mwenyewe.

Wanafunzi msome, acheni mapenzii, yatawaua km hivi.
Polee yao wafiwa, hasa wazazi.
 
Dizasta Vina nyimbo zake ziingizwe katika syllabus ashaongelea hili kwenye "uwaridi jeusi "
 
Back
Top Bottom