Mwanza: Chalamila akabidhi ofisi kwa RC mteule

Si ana uwezo wa kuongea na wafu huyu. Ampigie simu Jiwe ashtaki kuwa kapigwa chini na mama.
 
Gabriel, amezoea kuchota fedha kwenye migodi mikubwa ya dhahabu. Mwanza atachota wapi mungu wangu?
 
Hv ni kweli lile lory jamani hahahahaa watz hatuna kazi za kufanya jaman..tunafatilia petty issues balaaa🤣🤣
Sasa binadamu so tunaongea mambo ya binadamu lakini au unataka tuongee ishu za nyani 😃😃😃

BTW huyu mwehu alikuwa anataka umaarufu ndio maana watu walikuwa wanamfuatilia sana ameyataka mwenyewe mbona wengine hawafuatiliwi.

Akome
 
Mzee huko kwenye ubunge ndio kabisaa 2025 ni vichwa tupu vinaingia
Bahati mbaya hata Mwenyekiti wake wa chama namkubali that means atakula kichwa hata kama wajumbe watampitisha.

Akapige ulanzi tu 😃
 
Chalamila anakwenda kuwa mlevi mbwa,ila afadhali yake yeye hakuwateka na kuwaibia wafanyabishara kama jambazi Sabaya
 
Huyu clown leo atalewa kinyama 😃 ogopa kitu inaitwa stress. Gari la mizigo yake lilikuwa Tabora kutoka Mbeya nadhani watageuza leo wairudishe mizigo yake iende kijijini kwao. Ajipange na ubunge kama atatoboa.
 
Too Fast .. Under 24 hours tangu kutenguliwa anatakiwa kukabidhi na aondoke haraka..
Picha zinaongea kwa sauti ya juu kuliko maneno
 
Mama anacheza makida.hatoboi 2025,wajumbe wanamchekiiii ,Kama vile hawaoni.anasumbuka bule kuhangaika na kupanga safu yake,haya mambo yalikuwa enzi zile,kwa ss wajumbe wamejanjaluka .bi mkubwa tulia,acha kuhangaika na mauteuzi,fanya kazi tizione.mpaka ss hakuna jipya kutoka kwake.
 
Mi kuna muda nawaza, labda alikua hataki hizo nafasi, hivyo akawa anajifanya chizi ili atolewe....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…