intelligent man
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 705
- 1,123
Hyo barua umeitolea wapBarabara hiyoooooo........
Hivi kwa nini hizi barabara za mawe huwa hawaweki Street lights kama wanavyofanya kwenye za lami
barabara za lami baadhi ndio zina street lights,ijekuwa hizi za mawe!! japokuwa itakuwa fresh kama wangekuwa wanafanya hivoHivi kwa nini hizi barabara za mawe huwa hawaweki Street lights kama wanavyofanya kwenye za lami
igoma
sure mkuu,ilitakiwa project ya njia nne waiwahishe maana ikishafikaga jioni huwa kuna jam sana pale
Kwenye ule uzio waliojenga pale Mara Mara Kuna project gan?sure mkuu,ilitakiwa project ya njia nne waiwahishe maana ikishafikaga jioni huwa kuna jam sana pale
wamejenga tu uzio hakuna project yeyote pale,,wajuzi wa mambo wanadai lile eneo ni open space ila kuna kigogo wa serikali amejimilikisha,,wanadai ni naibu waziri wa aridhi Ridhiwan
Clinic, Makongoro RD?Kuna project ya ujenzi wa gorofa hapo mjini kati mitaa ya lumumba na sasa wapo ghorofa ya tano na huyu mkandarasi wa huu ujenzi kesho ataanza kujenga jengo la ghorofa 12 maeneo ya clinic kuna mwana humu alishapost huo mradi nikamtania, ni kweli mradi upo na ghorofa 12.
Upo sahihi kabisa huku patakuwa kama upanga asee.Clinic, Makongoro RD?