Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Waziri mkuu anakuja kwenye nini
1668671222156.jpg
 
kwa muda, wakati ni kiwaza nifanye nini kufanikisha hazima yangu ya kupata picha ya hili jengo.........
ITAENDELEA..
Nikamuona mdada umri kati ya miaka 20-22, anaelekea kwenye ofisi yake, na ofisi hiyo ni stationary fulani hivi, kabla sijauliza dhumuni la hao watu kusimama barabarani kando ya jengo la mahakama niliomba kwanza, nipatiwe kinywaji huku nikiendelea kusubiria hawa watu waondoke, nikiwa natafakari nikaona defender na kalandika linakuja usawa wa jengo la mahakama, kupiga jicho vizuri mara namuona mfalme zumaridi ndani ya defender, nami bila ajizi nikiwa nawaona wakina mama na wadada wakumshangilia mfalme wao, nikasema huu ni wakati wa mimi kupiga picha hili jengo, wakati napiga picha mara paap, nikavamiwa na wakina mama pamoja na wakina baba wakiwa wanapiga kelele na kurudia haya maneno mara kwa mara"umempiga picha mfalme wetu, umempiga picha simba, yatakayokupata au yatakayotupata utawajibika" wakati nikijitoa mikoni mwao ili nikimbie niende kwenye usafiri, nilivutwa nikaangushwa chini nikapigwa, nikasema hapa natakiwa nijitete ndipo nikaanza kuwaambia mimi sio mwandishi wa habari wala sijapiga picha mimi mwenyewe mfalme zumaridi ni simba wangu pia nina amini ni mungu chini ya jua, mara mwingine akadaka simu yangu akaipiga chini kwa bahati haikuharibika bali kioo kilivunjika, kwa bahati ile defender iliyompeleka zumaridi mahakama ilikuwa inarudi ndipo waliponiachia nikasema inshaallah, ilibidi nirudi nyumbani kisha niende hospital kwa matibabu.
Hakika mikdde umeniponza🤣🤣🤣
 
kwa muda, wakati ni kiwaza nifanye nini kufanikisha hazima yangu ya kupata picha ya hili jengo.........
ITAENDELEA..
Nikamuona mdada umri kati ya miaka 20-22, anaelekea kwenye ofisi yake, na ofisi hiyo ni stationary fulani hivi, kabla sijauliza dhumuni la hao watu kusimama barabarani kando ya jengo la mahakama niliomba kwanza, nipatiwe kinywaji huku nikiendelea kusubiria hawa watu waondoke, nikiwa natafakari nikaona defender na kalandika linakuja usawa wa jengo la mahakama, kupiga jicho vizuri mara namuona mfalme zumaridi ndani ya defender, nami bila ajizi nikiwa nawaona wakina mama na wadada wakumshangilia mfalme wao, nikasema huu ni wakati wa mimi kupiga picha hili jengo, wakati napiga picha mara paap, nikavamiwa na wakina mama pamoja na wakina baba wakiwa wanapiga kelele na kurudia haya maneno mara kwa mara"umempiga picha mfalme wetu, umempiga picha simba, yatakayokupata au yatakayotupata utawajibika" wakati nikijitoa mikoni mwao ili nikimbie niende kwenye usafiri, nilivutwa nikaangushwa chini nikapigwa, nikasema hapa natakiwa nijitete ndipo nikaanza kuwaambia mimi sio mwandishi wa habari wala sijapiga picha mimi mwenyewe mfalme zumaridi ni simba wangu pia nina amini ni mungu chini ya jua, mara mwingine akadaka simu yangu akaipiga chini kwa bahati haikuharibika bali kioo kilivunjika, kwa bahati ile defender iliyompeleka zumaridi mahakama ilikuwa inarudi ndipo waliponiachia nikasema inshaallah, ilibidi nirudi nyumbani kisha niende hospital kwa matibabu.
Hakika mikdde umeniponza[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pole sana aseee..

#MaendeleoHayanaChama
 
kwa muda, wakati ni kiwaza nifanye nini kufanikisha hazima yangu ya kupata picha ya hili jengo.........
ITAENDELEA..
Nikamuona mdada umri kati ya miaka 20-22, anaelekea kwenye ofisi yake, na ofisi hiyo ni stationary fulani hivi, kabla sijauliza dhumuni la hao watu kusimama barabarani kando ya jengo la mahakama niliomba kwanza, nipatiwe kinywaji huku nikiendelea kusubiria hawa watu waondoke, nikiwa natafakari nikaona defender na kalandika linakuja usawa wa jengo la mahakama, kupiga jicho vizuri mara namuona mfalme zumaridi ndani ya defender, nami bila ajizi nikiwa nawaona wakina mama na wadada wakumshangilia mfalme wao, nikasema huu ni wakati wa mimi kupiga picha hili jengo, wakati napiga picha mara paap, nikavamiwa na wakina mama pamoja na wakina baba wakiwa wanapiga kelele na kurudia haya maneno mara kwa mara"umempiga picha mfalme wetu, umempiga picha simba, yatakayokupata au yatakayotupata utawajibika" wakati nikijitoa mikoni mwao ili nikimbie niende kwenye usafiri, nilivutwa nikaangushwa chini nikapigwa, nikasema hapa natakiwa nijitete ndipo nikaanza kuwaambia mimi sio mwandishi wa habari wala sijapiga picha mimi mwenyewe mfalme zumaridi ni simba wangu pia nina amini ni mungu chini ya jua, mara mwingine akadaka simu yangu akaipiga chini kwa bahati haikuharibika bali kioo kilivunjika, kwa bahati ile defender iliyompeleka zumaridi mahakama ilikuwa inarudi ndipo waliponiachia nikasema inshaallah, ilibidi nirudi nyumbani kisha niende hospital kwa matibabu.
Hakika mikdde umeniponza🤣🤣🤣
Hahaah
 
Back
Top Bottom