Naona wataweka taa wapo kwa phases, walianzia airport, wakaja sabasaba na sasa taa zimefika pasiansiKutenga sio issue issue ni kutekeleza watu hawataki blahbha!
Barabara ya kutoka kiloleli kwenda maduka Tisa ina taa ila huwa haziwaki, ukipita Giza kama kawaida. Huwa nashangaa kweli.Tanroads washatenga bilioni 1 Kwa ajili ya taa hyo barabara
Sio hiyo tu barabara nyingi mwanza zina taa lakini haziwaki, ata sasa tunavyolilia taa zitakuja kuwekwa na baada ya miezi miwili kutakuwa giza tu, we angalia ata daraja la furahisha siku hizi ni giza tu, jiji linashindwa kweli kutenga bajeti kwaajili ya kufanya maintainance ya miundombinu kweli?Barabara ya kutoka kiloleli kwenda maduka Tisa ina taa ila huwa haziwaki, ukipita Giza kama kawaida. Huwa nashangaa kweli.
Kuna mdau ni raia wa jiji la wurzberg, ni mzungu tuna urafiki naye, naye alikuwa anasema wamedokezwa na CUHAS kwaajili ya kusupport huu mradi, pia akaniambia wanaproject ya kuwasaidia wavuvi hapa mkuyuni kwa uvuvi wa kisasa.wafanye haraka, tuone vitu kama hivi View attachment 2417733
Wanatakiwa wabadili mfumo wa nishati, hizo taa zilikuwa zinatumia umeme wa Tanesco, shida ipo kwenye bill, Minara ya taa haina matangazo ya biasharaSio hiyo tu barabara nyingi mwanza zina taa lakini haziwaki, ata sasa tunavyolilia taa zitakuja kuwekwa na baada ya miezi miwili kutakuwa giza tu, we angalia ata daraja la furahisha siku hizi ni giza tu, jiji linashindwa kweli kutenga bajeti kwaajili ya kufanya maintainance ya miundombinu kweli?
Hili jengo limeongeza harakati mitaa ya Buswelu, tupate vyuo vikubwa sasa upande wa Bugogwa/ Sangabuye sasa
Pole sana kiongozi kwa yaliyokupatakwa muda, wakati ni kiwaza nifanye nini kufanikisha hazima yangu ya kupata picha ya hili jengo.........
ITAENDELEA..
Nikamuona mdada umri kati ya miaka 20-22, anaelekea kwenye ofisi yake, na ofisi hiyo ni stationary fulani hivi, kabla sijauliza dhumuni la hao watu kusimama barabarani kando ya jengo la mahakama niliomba kwanza, nipatiwe kinywaji huku nikiendelea kusubiria hawa watu waondoke, nikiwa natafakari nikaona defender na kalandika linakuja usawa wa jengo la mahakama, kupiga jicho vizuri mara namuona mfalme zumaridi ndani ya defender, nami bila ajizi nikiwa nawaona wakina mama na wadada wakumshangilia mfalme wao, nikasema huu ni wakati wa mimi kupiga picha hili jengo, wakati napiga picha mara paap, nikavamiwa na wakina mama pamoja na wakina baba wakiwa wanapiga kelele na kurudia haya maneno mara kwa mara"umempiga picha mfalme wetu, umempiga picha simba, yatakayokupata au yatakayotupata utawajibika" wakati nikijitoa mikoni mwao ili nikimbie niende kwenye usafiri, nilivutwa nikaangushwa chini nikapigwa, nikasema hapa natakiwa nijitete ndipo nikaanza kuwaambia mimi sio mwandishi wa habari wala sijapiga picha mimi mwenyewe mfalme zumaridi ni simba wangu pia nina amini ni mungu chini ya jua, mara mwingine akadaka simu yangu akaipiga chini kwa bahati haikuharibika bali kioo kilivunjika, kwa bahati ile defender iliyompeleka zumaridi mahakama ilikuwa inarudi ndipo waliponiachia nikasema inshaallah, ilibidi nirudi nyumbani kisha niende hospital kwa matibabu.
Hakika mikdde umeniponza🤣🤣🤣
Wanatakiwa watumie solar na kuzifanyia maintanance.Wanatakiwa wabadili mfumo wa nishati, hizo taa zilikuwa zinatumia umeme wa Tanesco, shida ipo kwenye bill, Minara ya taa haina matangazo ya biashara
Hapo bugonjwa kuna eneo la mzumbe waliishia wapi tena?Hili jengo limeongeza harakati mitaa ya Buswelu, tupate vyuo vikubwa sasa upande wa Bugogwa/ Sangabuye sasa
[emoji28][emoji28] pole bwana..kumbe ulipigwa na malaika wa Mungu zumaridi..ila samahani bwana Kwa kukuingiza kwenye msala.kwa muda, wakati ni kiwaza nifanye nini kufanikisha hazima yangu ya kupata picha ya hili jengo.........
ITAENDELEA..
Nikamuona mdada umri kati ya miaka 20-22, anaelekea kwenye ofisi yake, na ofisi hiyo ni stationary fulani hivi, kabla sijauliza dhumuni la hao watu kusimama barabarani kando ya jengo la mahakama niliomba kwanza, nipatiwe kinywaji huku nikiendelea kusubiria hawa watu waondoke, nikiwa natafakari nikaona defender na kalandika linakuja usawa wa jengo la mahakama, kupiga jicho vizuri mara namuona mfalme zumaridi ndani ya defender, nami bila ajizi nikiwa nawaona wakina mama na wadada wakumshangilia mfalme wao, nikasema huu ni wakati wa mimi kupiga picha hili jengo, wakati napiga picha mara paap, nikavamiwa na wakina mama pamoja na wakina baba wakiwa wanapiga kelele na kurudia haya maneno mara kwa mara"umempiga picha mfalme wetu, umempiga picha simba, yatakayokupata au yatakayotupata utawajibika" wakati nikijitoa mikoni mwao ili nikimbie niende kwenye usafiri, nilivutwa nikaangushwa chini nikapigwa, nikasema hapa natakiwa nijitete ndipo nikaanza kuwaambia mimi sio mwandishi wa habari wala sijapiga picha mimi mwenyewe mfalme zumaridi ni simba wangu pia nina amini ni mungu chini ya jua, mara mwingine akadaka simu yangu akaipiga chini kwa bahati haikuharibika bali kioo kilivunjika, kwa bahati ile defender iliyompeleka zumaridi mahakama ilikuwa inarudi ndipo waliponiachia nikasema inshaallah, ilibidi nirudi nyumbani kisha niende hospital kwa matibabu.
Hakika mikdde umeniponza[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kawaida mkuu ila hatuachi kutafuta picha pale inapobidi.[emoji28][emoji28] pole bwana..kumbe ulipigwa na malaika wa Mungu zumaridi..ila samahani bwana Kwa kukuingiza kwenye msala.
[emoji28][emoji28] pole bwana..kumbe ulipigwa na malaika wa Mungu zumaridi..ila samahani bwana Kwa kukuingiza kwenye msala.
Hiyo picha ya juu ni michoro ya chuo cha DIT campus ya mwanza kinachojengwa, kama nimekosea naomba unambie.
Iko vizuri sana na football pitch kati kati mbona watakubali tu
Habari njema sana hiiKuna mdau ni raia wa jiji la wurzberg, ni mzungu tuna urafiki naye, naye alikuwa anasema wamedokezwa na CUHAS kwaajili ya kusupport huu mradi, pia akaniambia wanaproject ya kuwasaidia wavuvi hapa mkuyuni kwa uvuvi wa kisasa.
Hila hapo kwenye kiwanja cha mpira wametuingiza chaka, vingine vyote ni correct.View attachment 2420975
Michoro ya chuo Cha DIT mwanza campus. Nimewiwa kuituma Tena
Mbona eneo halitoshiView attachment 2420975
Michoro ya chuo Cha DIT mwanza campus. Nimewiwa kuituma Tena
Nami nimesema kuhusu eneo la kiwanja cha mpira linatoka wapi?Mbona eneo halitoshi