Nyakato sokoni hapo ni hatari.sana .hayo mataa sijui wafanyaje tu ...wayaondoe na waweke keep left .tuTakwimu zinasema Mwanza inaongoza kwa ujenzi, naona kuna jengo apo Maeneo ya Nyakato. Poleni mliofikwa na ajali hii
View attachment 2432470
Hilo jengo la mkurya mmoja , limejengwa muda sana ..sijui alifilisikaTakwimu zinasema Mwanza inaongoza kwa ujenzi, naona kuna jengo apo Maeneo ya Nyakato. Poleni mliofikwa na ajali hii
View attachment 2432470
Nilizani tuwe kama morocco kabisa kumbe morocco ya dar😂😂😂😂 I'm just kidding, lakini ungepiga na kapicha.Barabara ziko hatua ya mwisho .washaweka zege na lami Tayari... nyegezi Pako vizuri.sio haba tuombe wawekezaji waweke vitu pale .pawe kama Morocco dar
Daa mi sipo mwanza mda sana! Nilijua hilo jengo lishamalizika na linatumika! Jamaa atakuwa anajichanga kumalizia ujenzi!Hilo jengo la mkurya mmoja , limejengwa muda sana ..sijui alifilisika
Kila siku maeneo hayo ni ajali tu, kwasasa pamekuwa na maeneo ya hatari sana hayo na yakuogopwa kwa madereva na watembea kwa miguu.Nyakato sokoni hapo ni hatari.sana .hayo mataa sijui wafanyaje tu ...wayaondoe na waweke keep left .tu
Hata hivyo eneo lote hilo baada ya nyakato polisi mpaka kufikia buzuruga ni down kali sana aese!Kila siku maeneo hayo ni ajali tu, kwasasa pamekuwa na maeneo ya hatari sana hayo na yakuogopwa kwa madereva na watembea kwa miguu.
Kabisa ni hatari na inashinda baadhi ya cbd za miji mingi ya Tanzania.Hata hivyo eneo lote hilo baada ya nyakato polisi mpaka kufikia buzuruga ni down kali sana aese!
Safi sana! Ngoja liishe tuone inakuwaje? Ila kwa ramani hii liko poa sana!
Ramani haitabadilika ndio hii hii labda land scape isiwe hivyo ila michoro ya jengo nadhani itabaki hivyo.Safi sana! Ngoja liishe tuone inakuwaje? Ila kwa ramani hii liko poa sana!
Leteni picha za mtaa wa Ghana wadau hapa! Maana mnasifia sana tunataka fahari ya macho wadau!Ghana / Kirumba panakuja juu sasa
Linajengwaa wapiii sasaaRamani haitabadilika ndio hii hii labda land scape isiwe hivyo ila michoro ya jengo nadhani itabaki hivyo.
Ni soko la kirumba, linajengwa hapo hapo kulipokuwa na soko la zamani.
Tukiweza kupata michoro ya hizi projects itakuwa poa sana. Maana kuona tu mchoro kunaleta furaha moyoni na wakiweza kupafumua huko milimani ebhana patakuwa pazuri. I hope mwanza inaweza kuwa destination ya watalii na watu wwngineo nyakati za mapumziko( holiday). Wafumue hiyo milima, wawekeze kwenye beach na michezo ya majini, sport boats, mashua pia tuwe na special roads pembeni zipambwe na miti safi na ziwe na access ya watembea kwa miguu na waendesha baiskeli. Yaani sipati pichaNi soko la kirumba, linajengwa hapo hapo kulipokuwa na soko la zamani.
Walikuja wawekezaji wakazi baadhi wa milimani wakishilikiana na haters wa jiji la mwanza walipiga sana kelele adi mwekezaji akazuiwa kwasababu za kisiasa.Tukiweza kupata michoro ya hizi projects itakuwa poa sana. Maana kuona tu mchoro kunaleta furaha moyoni na wakiweza kupafumua huko milimani ebhana patakuwa pazuri. I hope mwanza inaweza kuwa destination ya watalii na watu wwngineo nyakati za mapumziko( holiday). Wafumue hiyo milima, wawekeze kwenye beach na michezo ya majini, sport boats, mashua pia tuwe na special roads pembeni zipambwe na miti safi na ziwe na access ya watembea kwa miguu na waendesha baiskeli. Yaani sipati picha
Masterplan tuliyonayo Inasoma 2015 - 2035, sasa nhc wamejenga nini labda uniambie weweSafi sana kamanda, je NHC nao wachukuliwe hatua kali za kisheria kujenga nyumba katikati ya jiji.
Jengo kubwa kama hilo huwezi sema mipango miji walilala, kiufupi tunasema alihonga.Kama mipango miji walikuwa wamelala, wangempa mikakati nini afanye eneo hilo na huu si muda wa kumlaumu vitu vingi viliingia hapo katu na mambo ya siasa pia.
Sasa tugange yajayo kuna eneo kubwa limebaki tuone juhudi Kwenye hilo eneo la tampere mengine yatafuata.
Hawamaanishi kwamba atakuja mwekezaji atoe 3trillion, ila ni kwamba vinavyotakiwa kujengwa hapo vina thamani hiyo.Proposal Iko poa ,,lakin implementation plan Yao Ina kasoro ...mradi trillion 3 sidhani kama Kuna mwekezaji HIV karibuni wa kuweza kuweka pesa zote hzo kwenye mradi ......hapo halmashauri iugawe mradi ,,uwepo mradi wa hayo majengo,uwepo mradi wa beaches,na uwepo mradi wa facilities nyingine na hii Miradi wapewe wabia tofauti tofauti..waongee na NSSF,PSSSF,au bakhresa .......
Umesema kweli, lina muda sanaHilo jengo la mkurya mmoja , limejengwa muda sana ..sijui alifilisika