Ngokongosha
JF-Expert Member
- Feb 9, 2011
- 3,400
- 7,608
Mwanza airport kinachoendelea sasa hivi ni ujenzi wa jengo la kuongozea ndege na urefushaji wa njia ya kutua na kupaa ndege ambayo sasa itakuwa na Mita 3,000 au 3km.Ngokongosha Mkuu tupe na update za Mwanza Airport.
View attachment 548250 View attachment 548252 View attachment 548253 View attachment 548255 pasiansi wildlife training institute
Napingana na wewe Mkuu. Uimara wa barabara unatokana na kiwango ambacho mkandarasi atafikia. Kama atalipua, basi hata miezi mitatu ni shida. Mfano mzuri ni Isamilo majengo mapya, ilijengwa barabara ya namna hiyo, baada ya mwezi mmoja na nusu yalibaki mawe tupu na kero ilikua x10 ya mwanzoMawe ni ya kawaida Ila inabidi yachongwe, wakazi wengi wa mji hasa milimanj zinakojengwa hizi barabara wanapata ajira kwa njia hiyo, barabara hizi zinadumu kushinda za lami na ni cheap inasemekana ni miaka 25 na zaidi.
View attachment 539293
View attachment 539294
Ukiulizwa life expectancy ya mtanzania ni miaka mingapi? Mtu akajibu 6o, utapinga na kusema mtaani kwenu kuna mtoto alikufa kwa malaria akiwa na miaka 5?Napingana na wewe Mkuu. Uimara wa barabara unatokana na kiwango ambacho mkandarasi atafikia. Kama atalipua, basi hata miezi mitatu ni shida. Mfano mzuri ni Isamilo majengo mapya, ilijengwa barabara ya namna hiyo, baada ya mwezi mmoja na nusu yalibaki mawe tupu na kero ilikua x10 ya mwanzo
Sent using Jamii Forums mobile app
Shida ni kuzisifia ilhali hazidumuUkiulizwa life expectancy ya mtanzania ni miaka mingapi? Mtu akajibu 6o, utapinga na kusema mtaani kwenu kuna mtoto alikufa kwa malaria akiwa na miaka 5?
Na ninadhani toka zimeanza kujengwa haijapita hiyo miaka 25, na nyingi zinaharibika kabla, so kwa swali lako, jibu ni: ukiniambia kua life expectancy ya mtz ni 65yrs wakati sijawahi kumuona mwenye miaka hiyo lazima nikatae kulingana na uhalisia Wa miaka inayoonekana kua kikomo halisi kuliko makadirioUkiulizwa life expectancy ya mtanzania ni miaka mingapi? Mtu akajibu 6o, utapinga na kusema mtaani kwenu kuna mtoto alikufa kwa malaria akiwa na miaka 5?
Hapa sijaelewa nifafanulieHii render ilibadilishwa ikawekwa hii hapa...jengo lipo underconstruction