Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Bot executive hostel na bot zonal office ni vitu viwili, tofauti.
Yote yako under construction but maeneo tofauti.
Zonal office iko nera pale ilipokuwa makongoro clinic, hostel iko capripoint kwenye chuo cha benki kuu.
 
Ujenzi wa barabara ya mawe 2.5 km ukiendelea leo hii maeneo ya bendera mbili wilaya ya nyamagana
0.1uvccm nyamagana6.JPG

0.1uvccm nyamagana7.JPG

0.1uvccm nyamagana9.JPG

0.1uvccm nyamagana16.JPG
0.1uvccm nyamagana15.JPG
 
Ngokongosha Mkuu tupe na update za Mwanza Airport.
Mwanza airport kinachoendelea sasa hivi ni ujenzi wa jengo la kuongozea ndege na urefushaji wa njia ya kutua na kupaa ndege ambayo sasa itakuwa na Mita 3,000 au 3km.
Habari zisizo rasmi ni kwamba ujenzi wa jengo la abiria itaanza mwaka huu kabla haujaisha.
 
Mawe ni ya kawaida Ila inabidi yachongwe, wakazi wengi wa mji hasa milimanj zinakojengwa hizi barabara wanapata ajira kwa njia hiyo, barabara hizi zinadumu kushinda za lami na ni cheap inasemekana ni miaka 25 na zaidi.

View attachment 539293

View attachment 539294
Napingana na wewe Mkuu. Uimara wa barabara unatokana na kiwango ambacho mkandarasi atafikia. Kama atalipua, basi hata miezi mitatu ni shida. Mfano mzuri ni Isamilo majengo mapya, ilijengwa barabara ya namna hiyo, baada ya mwezi mmoja na nusu yalibaki mawe tupu na kero ilikua x10 ya mwanzo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Napingana na wewe Mkuu. Uimara wa barabara unatokana na kiwango ambacho mkandarasi atafikia. Kama atalipua, basi hata miezi mitatu ni shida. Mfano mzuri ni Isamilo majengo mapya, ilijengwa barabara ya namna hiyo, baada ya mwezi mmoja na nusu yalibaki mawe tupu na kero ilikua x10 ya mwanzo

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiulizwa life expectancy ya mtanzania ni miaka mingapi? Mtu akajibu 6o, utapinga na kusema mtaani kwenu kuna mtoto alikufa kwa malaria akiwa na miaka 5?
 
Ukiulizwa life expectancy ya mtanzania ni miaka mingapi? Mtu akajibu 6o, utapinga na kusema mtaani kwenu kuna mtoto alikufa kwa malaria akiwa na miaka 5?
Na ninadhani toka zimeanza kujengwa haijapita hiyo miaka 25, na nyingi zinaharibika kabla, so kwa swali lako, jibu ni: ukiniambia kua life expectancy ya mtz ni 65yrs wakati sijawahi kumuona mwenye miaka hiyo lazima nikatae kulingana na uhalisia Wa miaka inayoonekana kua kikomo halisi kuliko makadirio

Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
 
00.1MWANANCHI JEMBEKA3.jpg
00.1MWANANCHI JEMBEKA4.jpg
 

Attachments

  • 00.1MWANANCHI JEMBEKA3.jpg
    00.1MWANANCHI JEMBEKA3.jpg
    76.7 KB · Views: 70
  • 00.1MWANANCHI JEMBEKA4.jpg
    00.1MWANANCHI JEMBEKA4.jpg
    76.2 KB · Views: 67
Mega Mall.jpg
Picture1.jpg
Marekebisho building Design Concept 2.jpg
building Concept design 2.jpg
a proposed mega mall complex to be constructed at nyakato mwanza.
 
Back
Top Bottom