Wewe hatukupi link, tuambie kwanini unataka ujiunge kwenye group?Nicheki na Mimi mkuu tafadhali!
Link ya nini unataka na unaishi wapiNicheki na Mimi mkuu tafadhali!
Bwiru hii hatari sana mijengo imesimama Tarura wafanye mambo Barabara za mitaa na taa pia
Capri-point hii au nakosea ?
Barabara ya kuelekea Mahama imetengenezwa au bado kiwango cha changarawe?
Usagara roundabout
View attachment 2557640
Kweli kabisa....hata hvyo tutajitahidi kutoa update Kila platformWadau, naona tangu group ya whatsApp ianzishwe Watu mmepunguza kucomment kwenye huu Uzi humu jamii forum.
Jamii forum ndiyo mahali pazuri ambapo viongozi na mamlaka husika wanaweza kuona na kushughulikia maoni yetu kuliko kwenye group la Whatsapp.
Naomba turudi huku kwenye huu Uzi...naona wengi wamehama.
Whatsapp iko too private.
Ni maoni yangu tu.
Imetengenezwa Kwa mawe ila haikaisha bossBarabara ya kuelekea Mahama imetengenezwa au bado kiwango cha changarawe?
Nashukuru kwa taarifa hii naipokeaImetengenezwa Kwa mawe ila haikaisha boss
Hizi rendering ziko njema maandalizi ya site yameshaanza ni kampuni gani imechukua kandarasi ya ujenzi wa jengo hilo?Mgeni huyo anakuja soonView attachment 2591501View attachment 2591502View attachment 2591503
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi Sana imekaa njema kwahyo kuna hiyo Bugando na Elly's beach au ni kitu kimoja?BUGANDO beach iliyopo nyanguge wilaya ya magu mwanzaView attachment 2587751View attachment 2587752View attachment 2587747View attachment 2587749
Kuna BUGANDO beach na Elly's beach and resort ni tofaut kabisa but zote zipo nyangugeSafi Sana imekaa njema kwahyo kuna hiyo Bugando na Elly's beach au ni kitu kimoja?
Kuna BUGANDO beach na Elly's beach and resort ni tofaut kabisa but zote zipo nyanguge