Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Wakuu Binafsi nakerwa sana na Nyumba za kuishi za Tanroad zilizojengwa hapo usagara Center, pembezoni ya barabara , lile eneo bora wangejenga frem za Maduka na Mji wa Usagara ungeshachangamka haswa, Kama wahusika tunawajua tunaomba wafikishiwe hizi taarifa , wabomoe zile nyumba na Kuweka frem za Maduka
Walikosea sana
 
Stendi ya nyegezi inazinduliwa lini? maana jana nimepita nikaona wametoa yale mabati.
 
Hiyo stand ya Nyegezi nilitegemea wakati huu wanasubiri ifunguliwe wangekuwa busy kupanda maua pembezoni mwa barabara za zege za kuingia na kutoka, lakini cha ajabu hakuna kinachofanyika. Hata bajeti ndogo ya kupanda maua nayo wanataka mpaka itoke makao makuu ?/
 
Hiyo stand ya Nyegezi nilitegea wakati huu wanasubiri ifunguliwe wangekuwa busy kupanda maua pembezoni mwa barabara za zege za kuingia na kutoka, lakini cha ajabu hakuna kinachofanyika. Hata bajeti ndogo ya kupanda maua nayo wanataka mpaka itoke makao makuu ?/
Kweli umenena Kuna vitu hatuhitaji fungu kutoka Kwa Samia aisee
 
b.jpg
 
Ujenzi SGR station umeanza
 

Attachments

  • 20230507_102142.jpg
    20230507_102142.jpg
    2 MB · Views: 24
  • 20230507_102125.jpg
    20230507_102125.jpg
    1.9 MB · Views: 17
  • 20230507_102037.jpg
    20230507_102037.jpg
    2 MB · Views: 29
  • 20230507_101954.jpg
    20230507_101954.jpg
    1.5 MB · Views: 24
  • 20230507_121007.jpg
    20230507_121007.jpg
    1.2 MB · Views: 18
  • 20230507_120915.jpg
    20230507_120915.jpg
    1.1 MB · Views: 26
Back
Top Bottom