Mwanza City: The Photo Gallery

Walikosea sana
 
Stendi ya nyegezi inazinduliwa lini? maana jana nimepita nikaona wametoa yale mabati.
 
Hiyo stand ya Nyegezi nilitegemea wakati huu wanasubiri ifunguliwe wangekuwa busy kupanda maua pembezoni mwa barabara za zege za kuingia na kutoka, lakini cha ajabu hakuna kinachofanyika. Hata bajeti ndogo ya kupanda maua nayo wanataka mpaka itoke makao makuu ?/
 
Kweli umenena Kuna vitu hatuhitaji fungu kutoka Kwa Samia aisee
 
Ujenzi SGR station umeanza
 

Attachments

  • 20230507_102142.jpg
    2 MB · Views: 24
  • 20230507_102125.jpg
    1.9 MB · Views: 17
  • 20230507_102037.jpg
    2 MB · Views: 29
  • 20230507_101954.jpg
    1.5 MB · Views: 24
  • 20230507_121007.jpg
    1.2 MB · Views: 18
  • 20230507_120915.jpg
    1.1 MB · Views: 26
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…