FUTURE PLAN
Senior Member
- Jun 11, 2023
- 186
- 212
Makalla hana mbambamba kanyoosha mulemule Yaani Sangara anasafirishwa kwa Roli mpaka Nairobi ndo anaenda Ulaya, Vivyo hivyo kwa madini na abiria kwakweli hii ilikua ni adhabu hii, Shukran sana Serikari kwa hili mmeupiga mwingi mno!
View: https://youtu.be/dm4WCL7ueFk?si=Xd2J0ymWDkCLa83p
Mmh mbon kun kutokuelewan hapo inaonekn iyo hela n ya kumalizia jengo na kuleta mitambo kitu km sio jengo jipya TenaMakalla hana mbambamba kanyoosha mulemule Yaani Sangara anasafirishwa kwa Roli mpaka Nairobi ndo anaenda Ulaya, Vivyo hivyo kwa madini na abiria kwakweli hii ilikua ni adhabu hii, Shukran sana Serikari kwa hili mmeupiga mwingi mno!
View: https://youtu.be/dm4WCL7ueFk?si=Xd2J0ymWDkCLa83p
Mmh mbon kun kutokuelewan hapo inaonekn iyo hela n ya kumalizia jengo na kuleta mitambo kitu km sio jengo jipya Tena
Duh ndo bilion 29Nimesikiliza vizuli aisee nahisi ni kweli hawajengi jengo jipya , ni kama wanakamilisha hilo hilo na kuongeza facilities nyingine kama uzio, Parking, Barabara za kuingia na kutoka na mifumo mingine itayoliwezesha kuwa la kimataifa
Duh ndo bilion 29
Chuo cha CBEPich hain maelezo n jengo la nin mtaa gan floor ngp
Amesemaje huyu mzee
Kangae sioChuo cha CBE
Ni jengo la Regional maritime rescue cordination centre limeanza kujengwa pale karibu na uwanja wa ndege mkabala na maraika beach.Pich hain maelezo n jengo la nin mtaa gan floor ngp
Wanamalizia jengo la zamani, au TAA pamoja na serikali tukiwemo sisi wadau wa Mwanza tulilidhiaki ilo jengo kwa maneno mengi ikiwemo kuliita godown au supermarket, hivi karibuni alisikika mkuu wa wilaya ya Nyamagana, ndugu Amina Makilagi akisema ilo jengo watalifanya supernarket na watajengo jengo jipya la hadhi ya kimataifa cha ajabu hao hao wanafiki wanamalizia jengo walilosema halina kiwango chochote na wala halina kigezo cha kimataifa..Wanajenga jingne la bil 30 halimshaul ya ilemela wamerushia ile bil 2 yao iliokua inaleta mgogoro
Hiki kinajengwa maeneo gan
Arusha hakuna issueWeka picha za arusha tulinganishe
KisekeHiki kinajengwa maeneo gan
Shida yetu, Madiwani wetu ni waoga, hawajui kupambana, kutafuta wadau Wala kubuni miradi.Wanajamvi habari zenu na Poleni na Majukumu, Leo nimekuja tofauti kidogo hivi mnaionaje kanda yetu kinachozalishwa na tunachorejeshewa na serikali,embu fikiria kutoka mgodi wa GGM ulipo mpaka pale Kakola ni kama 70km migodi miwili mikubwa sana lakini barabara ni vumbi vijiji vya huko maji tabu miundombinu hoi, kutoka kakola mpaka kahama km kama 75 nako Kuna Mgodi mkubwa miaka na miaka ndo juzi wamekumbukwa angalau lami, kutoka kakola mpaka mgodi mpya Nyanzaga ni kama 45 km tu nako hali ni tete sana, nenda shinyanga Almasi inachimbwa toka mkoloni yupo mpaka leo, Nenda Bunda hapo kuona wanyama ni nauli yako tu, Mwambao wa fukwe za ziwa Victoria salale ni kagera, Geita, Mwanza, Mara nafikiri na Simiyu, ilipaswa walau tuwe na mji au jiji moja kubwa la dhahabu kama kwingine wanakoita miji yao mara ya kibiashara, mara ya kitalii ilimladi tu wapate sababu za kupendelea huko, Rudi kwenye jiji letu la Mwanza figisu za wazi wazi yaani zile siasa za kizamani za viongozi kusema uongo ndio ziko huku, Mtu anakwambia soko kuu ni 93% toka December mpaka leo hata zabuni za kugawa vyumba hatujasikia, Limladi lenu la maji butimba limegeuka la kupigia picha maji hawajasambaza popote, Huo uwanja wa ndege ndio unatumika watu kujifua uwezo wao wa kudanganya, barabara zetu sasa nenda tu kisumu hapo mji population ndogo kabisa ila miundombinu babu kubwa, Huwezi kusikia Makao makuu ya Taasisi yoyote ya serikali ipo huku au inajengwa huku, Sijui kujenga chuo kikuu cha serikali hakuna hata tetesi, tunapata tabu cement tunanunua karibu mara mbili ya bei za wenzetu wa kanda zingine ila huwezi kusikia mpango walau wa kujenga kiwanda cha cement kanda ya ziwa, kiufupi wametudamp vibaya mno na ile kwamba ni jiji namba mbili sooni tunaenda kupokwa, je nini kifanyike?