Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wag hill ipo pande zipi?
Mkuu hilo ghorofa lililojengwa kwa kupinda pinda kama ngazi ni project gani ?
na bei ya malazi iko vipi?Iko nyegezi sehemu moja inaitwa luchelele.
Hiyo ni hoteli ambayo itakuwa na hadhi ya nyota tano, inajengwa na nssf.
wanaweka vioo tu. soon itakuwa tayariOk ,vipi baada ya Dau kuondoka bado wanaijenga?
na bei ya malazi iko vipi?
paukweli sana
panafaa vacation
Kumbi za mikutano za kimataifa kama una uwezo peleka kule upige hela mpak utapike..., gereji za kuunda bodi za magari, fursa nyingine ni fukwe aisee hapa ndo basi tena mana zilizopo hazitoshelezi mahtaji...Fursa za kibiashara mwanza weka wazo lako la kibiashara ambalo mwanza zinafanikiwa sana
Una hela ua kunua nyumba mwanza mkuuHivi kwa sasa nikitaka kununu nyumba au apartment Mwanza mjini - siohuko kwenye favellas za kupandiana- nyumba standard inakwenda kiasi gani?
Mwanza mjini napapenda sana na naona Dar pamejaa sehemuninayowezakuwa napumzikainaweza kuwa Mwanza.
Wadau wenye data hapo vipi?
picha za uswaz mbna hamna
Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone
Nina hela ya kununua nyumba North Shore of Long Island, nini Mwanza.