Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
Uko sahihi mkuu...nilikir picha zote zimepigwa maeneo yaliyokaribiana...hilo ghorofa la bluu ndo limenichanganya sababu hata pale nera kuna jengo linataka kufanana na hilo....halafu itakuwa ilichukuliwa kutoka lile eneo la kupandia boti za kwenda saananeHiyo picha ya pili mbona kama vile unatokea Mkuyuni kabla haujafika mwanza South/Sahara
pigia mstari
Jazia na Nyama kidogo Mkuu wangu Makini kabisa
Pata pendeza sana mitaa hii kukawa na second CBD
Ndo nn
Mkuu ule mpango wa mega mall na conference hall ulifikia wapi..?
Upo mkuu kulikuwa na mgogoro kidogo na wakazi wa eneo husika ila nimepita majuzi watu wamebomoa vimebaki vibanda vichache mbele ya barabara. Si unajua render imeshabadilika siyo ile iliyopostiwa humu pages za mwanzoni.Mkuu ule mpango wa mega mall na conference hall ulifikia wapi..?
Duh sikujua mkuu kama imebadilika...kwan kwa sasa ikoje?Upo mkuu kulikuwa na mgogoro kidogo na wakazi wa eneo husika ila nimepita majuzi watu wamebomoa vimebaki vibanda vichache mbele ya barabara. Si unajua render imeshabadilika siyo ile iliyopostiwa humu pages za mwanzoni.