Duh sikujua mkuu kama imebadilika...kwan kwa sasa ikoje?
Asante sana kiongozi.... Kuna lolote ulilosikia kuhusu muda(mwaka) ambao ujenzi utaanza...?
Mpaka tuongee na wadau bado hawajaeleza wataanza liniAsante sana kiongozi.... Kuna lolote ulilosikia kuhusu muda(mwaka) ambao ujenzi utaanza...?
Nyakato national
Thanks mkuu umenipa mwanga...Mpaka tuongee na wadau bado hawajaeleza wataanza lini
Picha ya hayo majengo iko wapiHalafu wakuu kule malaika beach resort kwa pembeni kuna maghorofa kama mawili matatu hivi yana rangi ya machungwa..... Nilipenda kufahamu ni ya nn,residential au ya ofisi fulani coz yamenivutia mno aisee,kuliko hata malaika yenyewe...
Kwani malaika beach huwa ni ya nan mkuu?Wakuu nimepata picha yake...... Ni haya hapa majengo matatu kando ya malaika..... Yanavutia kiukweli kama ukiyaona..... Naomba anayeyajua anijulishe ni ya nnView attachment 1296428
Sent using Jamii Forums mobile app
(Office, hotel,residents, nk)
Ya mzee cheyo nini malaika beach au hayo majengoya mzee cheyo
Iko mitaa gan hiyo project mkuuDuh sikujua mkuu kama imebadilika...kwan kwa sasa ikoje?
Oi kuwen na huruma watu wa Arusha watajinyonga
Oi kuwen na huruma watu wa Arusha watajinyonga
Hii project iko pande zipi kwa mwanza mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Jibu hilo hapo chini
Nyakato national
Alikuwa anasemea zile apartments pembeni ya malaika resort