Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

karibubongo.blogspot.com (28).jpg
airport
 
View attachment 539866 a special thread for the rocky city.
let us share some photos, underconstruction projects as well as proposed projects in mwanza. NB do not take time to compare the city with other cities from tz. naanza na picha hizi then unaruhisiwa kutupia pia.....View attachment 533939 View attachment 533941 View attachment 534071 View attachment 534075 View attachment 534076 View attachment 534078


😀😀😀😀😀😀 Mwanza mjukuu wa Dar 😀😀😀😀😉
 
Yule anayelinganisha Mwanza na Arusha ni mwendawazimu. Mwanza usilinganishe na vitu vya ajabu. Mimi Arusha na Mwanza kote nimefika tena sio kusalimu ndugu hapana ni kutalii kwamaana kwamba haya majiji yote nimezunguka vya kutosha. Kwakweli Mwanza ni level zingine aisee. kuna sehemu nyingi zinazopendeza. Nilifurahi sana nilipotembelea Saanane Island National Park kuliko mbuga ingine yoyote kati ya nilizotembelea, nilienjoy sana nilivyoenda Jembe ni Jembe Beach Resort....nilienda pia Tunza Beach Resort nilifurahi mnooo. Nikaingia Rock City Mall kutizama cinema...waachaa.

Majengo ya ajabu yapo Mwanza aisee kama lile jengo ukiwa unaelekea Saanane National Park (limejipindapinda hiviii).

Lakini kuna vitu pia viliniboa vinafaa virekebishwe kama aina ya usafiri wa vipanya, pia jiji linapoa mapeema mno...saa tano usiku kimyaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mamiz grand resort mkolani
2 (2).JPG
hapa ni mapokezi
2 (2).JPG
17.JPG
18.JPG
16.JPG
1 (1).JPG
10.JPG
5 (1).JPG
10 (1).JPG
1.JPG
2.JPG
LulbXw2FOZPh1470092380.jpg
Kx3cin8bjP9R1470092382.jpg
2 (1).JPG
 
St.-Fransis-Xavery-Nyakahoja.jpg
DSCN1219.jpg
IMG_2649.jpg
Nyakahoja 50.jpg
oxford_students_with_pupils-small.jpg
Nyakahoja 50. 10.jpg
Nyakahoja 50. 24.jpg
Nyakahoja 50. 14.jpg
nyakahoja primary school. the best primary school in mwanza. watoto wanakata ngeli hadi huruma.
 
Kiukweli nilipapenda sana Mwanza... Nikapata uwezo ninaweza kuweka makao mengine huko...
Hiyo Luchelele iko sehemu gani, maana ndio kwanza naliskia hilo jina?...
Karibu,Luchelele tutapata uwanja japo kwa shida lakini kwa bei kubwa,kuna viwanja hapo mpaka vya Rais wa Congo bwana Kabila ila usiogope karibu sana

JAH RASTAFARI MORNING AFRICA
 
Back
Top Bottom