Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 16,039
- 7,465
Nchi ya Vichaa wala sio Viwanda.Siku hizi uchochezi ni kosa kubwa kuliko kubaka ...............!!
Nabii Tito, Dr. Shika
Sasa naona kutakuwa na Dr Kig..... nae naona ameanza kuyumba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi ya Vichaa wala sio Viwanda.Siku hizi uchochezi ni kosa kubwa kuliko kubaka ...............!!
Kwa wanaomfahamu wanasema hata ukikutana naye kama kachizi hivi..!!Si anaweza kujitetea kirahis tu accnt yake imekua hacked....kosa lake labda awe hakutoa taarifa kituon
Mama siku hizi umebadilika sana tena sana. Umepatwa na nini? Huyu siyo yule cocochanel ninayemjua au account yako imekuwa hacked? Km ni ww kweli hongera sana tena zaidi ya sana. Hizi akili ndizo zinazohitajika.Mtu kuandika hamu ya mwili wake nayo ni maneno machafu.. eeeeh au kuna mengine hamkutuhabarisha humu!!
Deo tunasubiri utoke uje utupe habari za huko wanapokupitisha.
Kama ni mwalimu kweli atakuwa anawatukana wanafunzi wakeJeshi la Polisi Mkoani Mwanza limemkamata Deogratius Kisandu ambaye ni mwalimu wa Shule ya Sekondari Mkolani kwa makosa ya kutumia vibaya mitandao ya kijamii kwa kuandika matusi.
Mtuhumiwa huyo anadaiwa kutumia ukurasa wake wa Facebook kuandika matusi kwa takribani wiki nzima.
Kweli kabisaatakayeweka hayo matusi hapa naye atakuwa ametukana na hivyo ataungana na Kisandu. be careful
Serikali uiteteayo kila siku ndo imemkamata... Waulize wao cyo sisiMtu kuandika hamu ya mwili wake nayo ni maneno machafu.. eeeeh au kuna mengine hamkutuhabarisha humu!!
Deo tunasubiri utoke uje utupe habari za huko wanapokupitisha.