Mwanza: Deogratius Kisandu akamatwa na Polisi kwa kosa la kuandika matusi mitandaoni

Mtu kuandika hamu ya mwili wake nayo ni maneno machafu.. eeeeh au kuna mengine hamkutuhabarisha humu!!

Deo tunasubiri utoke uje utupe habari za huko wanapokupitisha.
Leo umebadilika kutetea demokrasia ya kujieleza ??
Ajabu sana..
we si ndo kila siku unaletaga USHABIKI MAANDAZI kisa ushibishe tumbo lako..
 
Pole Kisandu Kwa matatizo ya afya ya akili,Polisi Mpelekeni Mirembe akapate tiba.
 
Jamaa hafaninii ile mitusi ya mama, he looks very decent, au mtoto alikuwa anachezea simu yake
 
Eeeeeh eti tumbo!!!
Wewe unashibisha nini kwa kuandika humu?
ndiomana hatuendelei
Weng wana akil kama zako zinazoishia kushibisha matumbo yao badala ya kusimamia hoja za msingi..

Your Hopeless in this World, if your stomack is everythng for you
Poor u ?!! =
 
ndiomana hatuendelei
Weng wana akil kama zako zinazoishia kushibisha matumbo yao badala ya kusimamia hoja za msingi..

Your Hopeless in this World, if your stomack is everythng for you
Poor u ?!! =

Ha ha haaaaa
Hizo hasira zako unanitolea mie ka vile nimefanya maisha yako yawe yalivyo.. oyooooo huoni aibu eeeeh

Jipige vibao vya usoni ulie kabisa.. kula na mawe plus mchanga kabisa...
 
DUUUUH AISEE HATARI SANA SIDHANI KAMA NI MWALIMU WA WATOTO WETU HUYU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…