Mwanza: Deogratius Kisandu akamatwa na Polisi kwa kosa la kuandika matusi mitandaoni

Mwanza: Deogratius Kisandu akamatwa na Polisi kwa kosa la kuandika matusi mitandaoni

Anawajibika kwa Taifa
Nchi imemsomesha sana ualimu
Leo anaidhalilisha nchi
Anajifunza mambo mema sana huko
Akitoka atakuwa kijana mzuri sana wakulipenda Taifa lake kwa moyo wake wote
 
Lakini amewahi kulalamika hapa jf kwamba account yake ya fb imedukuliwa
Watu ni wepesi sana wakuhukumu. Ila Deo aliwah kuandika humu kwenye moja ya post zake kuwa account yake ya fb imedukuliwa. Sasa badala ya kumtafuta mdukuaji wanamshikilia Deo.
 
Back
Top Bottom