hahahahaha, uko Mwanza? Ujue kuna kambi za wachina wanaotengeneza barabara na wenyewe wananunua mbwa kwa ajili ya mlo. hahahahah Labda kuna madogo wameenda kumuuza huko. hahahahahahKuna mbwa wangu amepotea mwezi uliopita mpaka leo hajaonekana, iumbe haka kamtindo kameanza huku?
tangu lini samak wachoshe? ni kubadili aina ya uandaaji tu weka na dona hapo siku inapita leo wa kuchomwa kesho wa kukaanga kesho kutwa mchemsho mtondogoo aliye pakwa vikorombwezo na kuokwa utaanzaje kumchoka?Karibu Mwanza ule samaki hadi uwachoke
Maeneo tajwa hapo juu ndipo naishi nahisi hawa walikuja kuiba mbwa wangu.hahahahaha, uko Mwanza? Ujue kuna kambi za wachina wanaotengeneza barabara na wenyewe wananunua mbwa kwa ajili ya mlo. hahahahah Labda kuna madogo wameenda kumuuza huko. hahahahahah
Na huyo mwenyeji wako awe amechinja mwenyewe si ndio!!!Wala sithubutu kula nyama mkoani unless iwe kwa mwenyeji wangu
Basi ni nyama ya kawaida tu.Sijasikia kwa kweli.
sawatangu lini samak wachoshe? ni kubadili aina ya uandaaji tu weka na dona hapo siku inapita leo wa kuchomwa kesho wa kukaanga kesho kutwa mchemsho mtondogoo aliye pakwa vikorombwezo na kuokwa utaanzaje kumchoka?
kha! uwiiiiiiiiiiiiiiiiiBasi ni nyama ya kawaida tu.
hahahahah, huyo alikuwa mbwa wa Dar bwana hahahahahahEbu angalia vizuri hivyo vichwa vilivyookotwa inawezekana yule wa lugola ni mmoja wapo
Du! Pole labda ameibiwa au kama ni dume labda alienda kwa majike atarudi akimaliza michezo yakeMaeneo tajwa hapo juu ndipo naishi nahisi hawa walikuja kuiba mbwa wangu.
Kwa hiyo mimi nigeuke kulinda mbwa wangu badala ya kulindwa na mbwa?
Ni bora ule ukijua unakula nini, angalau wewe unapenda na unajua kuwa sasa unakula mbwaMbona supu ya mbwa iko poa sana.
Hasa ukipata supu ya ulimi...