Mwanza hii tabia ya kutulisha mbwa acheni

hahahaah jamani pole sana,mie nilikua kama wewe sijui ujasiri nimeupata wapi kwa kweli.Nikipata mda nitajaribu kula chura nione ana ladha gani.

😵😵😳😳😳
 
Tuliza mshono wew si mmenunua wenyew kwani mlilaZimishwa
 
Mkuu fanya utafiti wako binafsi. Jmos we nenda.
kilambimkwidu sitaenda kwa kweli nimechafukwa nafsi. Kuna sehemu nyingine nako kule Luchelele, jina silikumbuki vizuri CHAKORIBIS sijui, yaani tangu nilivyowasikia wakitangaza eti wana nyama ya mamba, nzuri imetengenezwa kibrazili, nilishikwa kichefuchefu hata sitaki kwenda hapo kabisa
 
Kwani kula nyama ya mbwa ni kuvunja sheria? Hao askari walimkamata huyo mangi kwa kosa lipi.

Biblia inasema kimwingiacho mtu sio haramu bali kimtokacho. Kinachoingia mdomoni ni chakula ... kinachotokea pengine ndo uchafu.
 
Chako wako poa. Wanaandaa vzuri sana. Wale wanayo ya mambo, ila hawakupi kama huitaki. Ni nzuri. Siku ukienda kajaribu kula. Mara ya kwanza mm ilikua mwaka jana, Nairobi kuna pub inaitwa CARNIVAL ...iko poa
 
Kwani kula nyama ya mbwa ni kuvunja sheria? Hao askari walimkamata huyo mangi kwa kosa lipi.

Biblia inasema kimwingiacho mtu sio haramu bali kimtokacho. Kinachoingia mdomoni ni chakula ... kinachotokea pengine ndo uchafu.
Alisha achiwa yuko mtaani anatesa kwa raha zake
 
Chako wako poa. Wanaandaa vzuri sana. Wale wanayo ya mambo, ila hawakupi kama huitaki. Ni nzuri. Siku ukienda kajaribu kula. Mara ya kwanza mm ilikua mwaka jana, Nairobi kuna pub inaitwa CARNIVAL ...iko poa
uwiiii, puuuuuuuuuuuu mie siwezi kabisa
 
chakula cha kuaminika hasa nyama ni mfugo uliochinja mwenyewe
 
Weweeee!!! niambie koma. Uwiii tena Jumamosi hii nilikuwa na mpango wa kwenda pale mapemaaa.
Jamani, na jiko lao limesheheni vyakula vya kila aina. Mkurugenzi anapita kila meza kukagua kama wateja mko "fureshi"
Mi juzi nimekula ya mbuzi kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…