Mwanza hii tabia ya kutulisha mbwa acheni

Mwanza hii tabia ya kutulisha mbwa acheni

😡😡 Wakazi wa Mwanza, Mungu anawaona. Hii tabia iliyotamalaki ya kulisha watu kitoweo cha mnyama mbwa sijaipenda.

Tukio la kwanza lilitokea eneo maarufu Buswelu Centre, sehemu inayoitwa MSUKUMA PUB, kuna kaka pale anapika supu maarufu Mangi japo ni Mmeru anaitwa Mbise, wiki chache zilizopita alikamatwa usiku na askari wa doria akiwa na mzigo walipomtilia shaka na kumpekua akakutwa na VICHWA 4 (vinne) vya mbwa. Baada ya kubananishwa akakiri kuwa huwa anachanganya nyama ya mbwa na mbuzi, alikaa mahabusu siku kadhaa baadae wamemwachia anaendelea na biashara yake.

Tukio/matukio mengine ni kule sehemu za viwanja vya nane nane Nyamhongolo nako viliokotwa vichwa viwili (2) vya mbwa maeneo ya karibu na uwanjani, puuuuuuuuuuuuuuu!!! kumbe baadhi ya washenzi walikuwa wanachoma nyama za mbwa.

Tuhurumiane jamani, mbwa sio utamaduni wetu.

Kama vipi wafungue tu bucha maalum za nyama ya mbwa lakini sio kuchanganyia watu bila kujua. Ni kosa kisheria
 
USHAURI WANGU!
Ukifika mwanza usiagize nyama ya mbuzi, agiza supu ya sato, nyama ya ng'ombe basi. hata nyama ya kuku usipendelee sana kama sio hotel marufu kwani kuna ndege maarufu pale wanaitwa "bwana Afya" ukijichaganya wanakupakulia. Kuwa makini na akina ngosha!
Kweli
 
😡😡 Wakazi wa Mwanza, Mungu anawaona. Hii tabia iliyotamalaki ya kulisha watu kitoweo cha mnyama mbwa sijaipenda.

Tukio la kwanza lilitokea eneo maarufu Buswelu Centre, sehemu inayoitwa MSUKUMA PUB, kuna kaka pale anapika supu maarufu Mangi japo ni Mmeru anaitwa Mbise, wiki chache zilizopita alikamatwa usiku na askari wa doria akiwa na mzigo walipomtilia shaka na kumpekua akakutwa na VICHWA 4 (vinne) vya mbwa. Baada ya kubananishwa akakiri kuwa huwa anachanganya nyama ya mbwa na mbuzi, alikaa mahabusu siku kadhaa baadae wamemwachia anaendelea na biashara yake.

Tukio/matukio mengine ni kule sehemu za viwanja vya nane nane Nyamhongolo nako viliokotwa vichwa viwili (2) vya mbwa maeneo ya karibu na uwanjani, puuuuuuuuuuuuuuu!!! kumbe baadhi ya washenzi walikuwa wanachoma nyama za mbwa.

Tuhurumiane jamani, mbwa sio utamaduni wetu.


Hawa wapuuzi wanafikiri kila Mtanzania ni Muhehe? Washenzi sana.
 
😡😡 Wakazi wa Mwanza, Mungu anawaona. Hii tabia iliyotamalaki ya kulisha watu kitoweo cha mnyama mbwa sijaipenda.

Tukio la kwanza lilitokea eneo maarufu Buswelu Centre, sehemu inayoitwa MSUKUMA PUB, kuna kaka pale anapika supu maarufu Mangi japo ni Mmeru anaitwa Mbise, wiki chache zilizopita alikamatwa usiku na askari wa doria akiwa na mzigo walipomtilia shaka na kumpekua akakutwa na VICHWA 4 (vinne) vya mbwa. Baada ya kubananishwa akakiri kuwa huwa anachanganya nyama ya mbwa na mbuzi, alikaa mahabusu siku kadhaa baadae wamemwachia anaendelea na biashara yake.

Tukio/matukio mengine ni kule sehemu za viwanja vya nane nane Nyamhongolo nako viliokotwa vichwa viwili (2) vya mbwa maeneo ya karibu na uwanjani, puuuuuuuuuuuuuuu!!! kumbe baadhi ya washenzi walikuwa wanachoma nyama za mbwa.

Tuhurumiane jamani, mbwa sio utamaduni wetu.
Hapo kwa msukuma kuna yule mangi mwingine anauza kitimoto, na siku za karibuni ameboresha sana mapishi kitimoto imekua tamu sana. Inawezekana na yeye anafanya mchanganyiko huo pia?
 
Hapo kwa msukuma kuna yule mangi mwingine anauza kitimoto, na siku za karibuni ameboresha sana mapishi kitimoto imekua tamu sana. Inawezekana na yeye anafanya mchanganyiko huo pia?
Ndio huyo huyo Mbise. Huyo ndie aliyekutwa na vichwa vya mbwa. Anaitwa Mbise, mweupe. anauza supu na kitimoto. NI kama hilo jiko amelishikilia yeye.
 
Back
Top Bottom