alphonce.NET
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 1,703
- 6,046
Dah! kama ndio huyo basi hatari sana, mi nimekula kitimoto mara ya mwisho juzi tuNdio huyo huyo Mbise. Huyo ndie aliyekutwa na vichwa vya mbwa. Anaitwa Mbise, mweupe. anauza supu na kitimoto. NI kama hilo jiko amelishikilia yeye.