Leonardchama7
JF-Expert Member
- Apr 14, 2018
- 2,963
- 4,027
Yaelekea akipita Kule anashawishika anapowaona.Ila mnaowachukia makahaba nawashangaa mno!
Ujue makahaba hawapiti nyumba kwa nyumba kujiuza.
Wana maeneo yao maalumu wanajipanga huko.
Tena mara zote wao huenda kwenye maeneo yao nyakati za usiku.
Sasa wewe kipi unapungukiwa?
Maeneo yao si yanajulikana?
Kwanini upite mitaa hiyo kama wamekuwa kero kwako?
Hawa hata wakiambiwa bila ndomu watakuwa wanakubali..ni wadogo sana kuwa decisive.Kuna sehemu apo mjini kati nilkuta vitoto vya range ya form 1.2.3 adi 4 vina jiuza .vingi ni kutokea kirumba.sahara na mabatini
Wengi wao wanafanya kwa kupenda au ni kazi kama kazi zingine?Zama hizi sio za kushangaa kuongezeka kwa umalaya.
True..Binafsi naunga mkono biashara hii maana wanajali afya kuliko hawa wa mtaani,wanaojiuza huwezi kwenda pekupeku,ila hawa wa huku mtaani atakuaminisha uko peke yako kumbe mko saba na vizinga kibao
Hawa hawapendi wanafanya ili walipe bills maisha yasonge.Wengi wao wanafanya kwa kupenda au ni kazi kama kazi zingine?
Mtu akipata Ukimwi kwa malaya wa kujiuza atakuwa ni mwenye gundu kupindukia na pia asiyejielewa.Tena hawa wa mtaani hawachelewi kusema kondomu zinaniumiza , Sasa jiulize mko wangapi nani wangapi kawaambia kondomu zinamuumiza alaf wakaenda kavu bila hata kujua afya status ?
Mbona ukimwi unapata tu mzee, kwenye aslimia 25 izo zilizobaki kwenye matumiz ya kondomu mbona zinawezekanika kuupataMtu akipata Ukimwi kwa malaya wa kujiuza atakuwa ni mwenye gundu kupindukia na pia asiyejielewa.
Hawa wao wakoje kwan?Pia tusisahau kuzungumzia ukahaba wa kwenye mitandao ambao kwa sasa unafanyika mpaka level ya international Tena hawa usema dau kubwa na uwa tayar kurisk maisha yao kwa thamani ya pesa kubwa pesa ufanya wasahau afya zao
Tena hawa wengi tunawapa heshima kama star ila biashara yao kubwa iko dubai Tembea ujionee mengiHawa wao wakoje kwan?
DuuhTena hawa wengi tunawapa heshima kama star ila biashara yao kubwa iko dubai Tembea ujionee mengi
Kila la herii!Kwakua niko mwanza ntawaletea mrejesho na bei zao pale. Na pia ntajaribu sample 3 kuona kama ni maji, kavu au mnato.
Au nasema uwongo ndugu zangu.. Ayaa