Mwanza imeharibika kwa ukahaba

Biashara haramu.
Wanunuaji wasingekuwepo hii biashara ingekufa kirahisi tu. Bahati mbaya wauzaji wanaongezeka na wanunuaji nao wanaongezeka
 
Acha ujinga. Wewe utakuwa jogoo hapandi mtungi ama mchicha mwiba.
 
MI SIAMINI MPAKA NIONE PICHA YAO INAFANANAJE
 
Ukiwa mteja unapewa bao mbili za bure kuanzia 3 hadi 9 ndio hela
 
True..

Hawa wa mtaani haupimi na siku ya kwanza ndomu,siku ya pili mnapimana kwa macho mnateleza kavukavu unasimamia show mnachubuana unachukua AIDS.

STD's unazoweza kuchukuwa kwa hawa ni herpes kama utavua boxer.

Lol! Umenikumbusha mbali, kuna rafiki yangu alipata hiyo herpes nilimuhurumia maana alipata blisters sehemu nyeti za mwili na alivyokuwa mweupe we acha tu.

But thanks God alipona, alitumia vidonge vya kutibu HIV akakaa sawa. Condom muhimu sana hasa pale unapokutana na mtu ambaye humfahamu kiundani.
 
Kwan katiba ya Tanzania inasemaje ?
Na je maoni ya katiba mpya yanasemaje?
Juu ya kuuza mwili kwa lengo la kujipatia kipato
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…