Mwanza imeharibika kwa ukahaba

Tena hawa wa mtaani hawachelewi kusema kondomu zinaniumiza , Sasa jiulize mko wangapi nani wangapi kawaambia kondomu zinamuumiza alaf wakaenda kavu bila hata kujua afya status ?
Ukweli ni kuwa, hawa wanajiuza ni more safe kuliko hawa wa mitaani kwetu na ni economically affordable, maana wanatoa huduma in package according to your affordability 🤷‍♂️
 
Siwez kuacha kununua Malaya......na kila nnapo ingia mkoa mpya lazma nifanye utafiti wa Hawa watu wanapoatikana wapi , me napenda sana malaya
 
Ndugu labda hujaona maeneo wanayokaa hasa hapo Nyegezi yan ni njia inayowapitisha watu wa aina zote na ni njia kuu ya mtaa
Ndugu me niko mwanza hapa ..nimefika leo na nimechukua room hapa nyegez stand mpya ..nipe location niende nikapeleleze ..ili nichukue hatua ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…