ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Namba 2 wa nini? Hamna mapato nyieMkoa kuwa namba mbili kitaifa unafikiri ni mchezo?
Mbeya ni kubwa mara tano kwa eneo lakini hakuna chochote cha maana, ukitoa mjini sehemu zingine za ovyo kabisa
Mapato yapi wewe mshamba...Namba 2 wa nini? Hamna mapato nyie
GDP ndio pesa? 😆😆
Hakuna kitu,usidai hadhi ambayo hunaBasi Mbeya namba 2 ili ufurahi, cheka sasa
Nini sasa .. ingekuwa sio pesa wasingeiweka kwenye unit za currencyGDP ndio pesa? [emoji38][emoji38]
Sasa wa 4 ukidai hadhi ambayo huna, WA kwanza atasemaje?Mapato yapi wewe mshamba...
Knock out
GDP .. trillion 12 (2th)
Halmashauri bilion 45 (2th)
TRA . billion 227(4th)
......... endelea kubwabwaja
Sent using Jamii Forums mobile app
GDP sio pesa ni conversion tuuNini sasa .. ingekuwa sio pesa wasingeiweka kwenye unit za currency
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbeya hii ambayo mapato yake inaingia Mara tatu Kwa Tanga [emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Basi Mbeya namba 2 ili ufurahi, cheka sasa
🤣🤣🤣🤣 ila nyinyi watu mna chuki bila sababu za msingi! Sasa hilo jitu jinga imekuwaje likawa hapo na ukakutana nalo wewe mjanja!Wasukuma wa mwanza ni washamba sana, YAANI unakutana na jitu ni kubwa, nene, jeusi halafu pia jinga.
Waliambiwa wafyatuePia wasukuma wanazaliana ovyo bila kuangalia resources kama zinatosha au la. Unaweza leo kukuta msukuma ana ng'ombe mmoja na mke mmoja ila baada ya miaka mitano unakuta yeye ana watoto 9 lakini yule ng'ombe wake ana watoto 6. Yaani anashindana na ng'ombe kuzaa.
Si anataka aambiwe Mbeya ndiyo iko vizuriMbeya hii ambayo mapato yake inaingia Mara tatu Kwa Tanga [emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna njia tatu za kupima GPDGDP sio pesa ni conversion tuu
Unajua hawa watu wanapenda kuwaona Wasukuma wakiwa nyuma kwa kila jambo! Wakiona wasukuma wanawapiga gap wanaanza kuhaha ndo maana hata Magufuli walikuwa hawamoendi si kwa sababu aliwakosea ila kwa vile ni Msukuma!Msijibizane na hao wehu mnajaza Uzi comments zisizo maana ebu kaushen watacomment na kjibizana wao
## I'm konki konki konki master #
Mwanza Haina hadhi mnayoidai acheni kutuchosha basi 😂😂Hiyo migawanyo tu kwenye collection, kila idara inakusanya kivyake, lakini ukija ku sum up Mwanza namba mbili, utake usitake ndo ishakuwa hivyo