MWANZA: Jiji la Pili kwa Ukubwa lakini halipewi hadhi yake

Unajua hawa watu wanapenda kuwaona Wasukuma wakiwa nyuma kwa kila jambo! Wakiona wasukuma wanawapiga gap wanaanza kuhaha ndo maana hata Magufuli walikuwa hawamoendi si kwa sababu aliwakosea ila kwa vile ni Msukuma!
Wivu wao na ukabila hata hausaidii Kila siku wanapigwa msasa lakin kuendelea hola

Wachaga wanakomaa na viduka vya takataka huku msukuma Hana mda na hayo anadili na big dili zaenye kuingiza Hela nzito
 
Mapato yote ya Mkoa wa Mwanza hayafiki mapato ya Jiji la Dodoma [emoji16][emoji16]
Dodoma hii ambayo mapato yake yanazidi kuslump Kila mwaka ..,[emoji1787][emoji1787][emoji1787].. imagine mwaka huu hawafikishi bilioni 40 Kama mwaka Jana ..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]..mpaka sasa bado miezi mitatu tufunge mwaka wana bilioni 28 ......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya ni Mapato ya Hadi February,Kwa hiyo Bado miezi 4 so yatafika kumbuka wamekadiliwa pakubwa.

Mwanza Sasa hakuna walichoongeza.
 
Nilichogundua huyu jamaa anabisha lakini anajua ukweli. Hana kazi ya kufanya hivyo kaona apoteze muda kwa kubishana
 
Nilichogundua huyu jamaa anabisha lakini anajua ukweli. Hana kazi ya kufanya hivyo kaona apoteze muda kwa kubishana
Ypo hivo si mbena Kaz kuzurura kuangalia Uzi upi wanachat akashoboke Kwa vidume yaan kiufupi ni mtu Wa hovyo mno Kuna mda akili kidogo znamkaa mda mwingine kiza kinene,,
 
Mwanza Haina hadhi mnayoidai acheni kutuchosha basi 😂😂
Twende kwenye uzi wetu wa mbeya acha kuchafulia watu hali ya hewa au hutaki tupewe barabara na kujengewa airport, muda mwingine unatakiwa kupunguza bangi, na unajua kabisa una kichwa maji.
 
kaamke usingizini na upumbavu wako huo utajikojolea. Mwanaume mzima na mapumbu yako unatumia muda wako kuandika mada ya kifala km haya unajisikiaje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…