Katibu wa UVCCM Wilaya ya Sengerema amewaonya baadhi ya viongozi wa jumuiya wanaotumika kupanga safu za wapiga kura wa maoni ndani ya CCM, akisema wanakiuka taratibu za chama hicho.
Ametoa wito kwa viongozi hao kuheshimu misingi ya chama iliyowekwa na waasisi wake na kuacha tabia zinazoweza kuvuruga umoja na mshikamano ndani ya CCM.
Kauli hiyo aliitoa wakati wa maadhimisho ya miaka 48 ya kuzaliwa kwa CCM, yaliyofanyika Kata ya Igalula, ambapo jumuiya hiyo ilisherehekea siku hiyo kwa shughuli mbalimbali.
Katibu wa UVCCM Wilaya ya Sengerema amewaonya baadhi ya viongozi wa jumuiya wanaotumika kupanga safu za wapiga kura wa maoni ndani ya CCM, akisema wanakiuka taratibu za chama hicho.
Ametoa wito kwa viongozi hao kuheshimu misingi ya chama iliyowekwa na waasisi wake na kuacha tabia zinazoweza kuvuruga umoja na mshikamano ndani ya CCM.
Kauli hiyo aliitoa wakati wa maadhimisho ya miaka 48 ya kuzaliwa kwa CCM, yaliyofanyika Kata ya Igalula, ambapo jumuiya hiyo ilisherehekea siku hiyo kwa shughuli mbalimbali.