Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Katibu wa UVCCM Wilaya ya Sengerema amewaonya baadhi ya viongozi wa jumuiya wanaotumika kupanga safu za wapiga kura wa maoni ndani ya CCM, akisema wanakiuka taratibu za chama hicho.
Ametoa wito kwa viongozi hao kuheshimu misingi ya chama iliyowekwa na waasisi wake na kuacha tabia zinazoweza kuvuruga umoja na mshikamano ndani ya CCM.
Soma pia: Pre GE2025 Mwenyekiti wa CCM Morogoro awapiga biti kali wagombea walioanza kampeni kabla ya muda uliopangwa
Kauli hiyo aliitoa wakati wa maadhimisho ya miaka 48 ya kuzaliwa kwa CCM, yaliyofanyika Kata ya Igalula, ambapo jumuiya hiyo ilisherehekea siku hiyo kwa shughuli mbalimbali.
Ametoa wito kwa viongozi hao kuheshimu misingi ya chama iliyowekwa na waasisi wake na kuacha tabia zinazoweza kuvuruga umoja na mshikamano ndani ya CCM.
Soma pia: Pre GE2025 Mwenyekiti wa CCM Morogoro awapiga biti kali wagombea walioanza kampeni kabla ya muda uliopangwa
Kauli hiyo aliitoa wakati wa maadhimisho ya miaka 48 ya kuzaliwa kwa CCM, yaliyofanyika Kata ya Igalula, ambapo jumuiya hiyo ilisherehekea siku hiyo kwa shughuli mbalimbali.