Mwanza: Kijana Ajikata Uume na Kuundoa Kabisa Kutokana na Kukata Tamaa ya Kupona

Mwanza: Kijana Ajikata Uume na Kuundoa Kabisa Kutokana na Kukata Tamaa ya Kupona

benzemah

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2014
Posts
1,533
Reaction score
3,187
Kamanda Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbroad Mutafungwa akizungumza na waandishi wa habari mkoani humo ameeleza kuhusu tukio la mwanaume mmoja aliyefahamika kwa jina la Marco Samwel (32) ALIYEJIKATA NA KUONDOA KABISA UUME WAKE.

Kamanda Mutafungwa ameeleza kuwa lengo la kijana huyo lilikuwa ni kujitoa uhai kutokana na kuugua kwa muda mrefu bila kupona.

Alisema kuwa mtu huyo anaendelea kupatiwa matibabu na anaendelea vizuri chini ya ulinzi wa polisi na pindi akipona, atafikishwa mahakamani kwa kosa la kujijeruhi.
 
Tumieni kondomu aisee hizo kama UTI SUGU basi ni Ni GONO sugu au mafangasi sugu.

Ama itakuwa amepata Pvmbv erosion
 
Tumieni kondomu aisee hizo kama UTI SUGU basi ni Ni GONO sugu au mafangasi sugu.

Ama itakuwa amepata Pvmbv erosion
UTI sio STD(Sexually transmitted disease)..unless unafukua mitaro
 
Kwa hiyo akipona atafikishwa mahakamani

Ova
 
Sheria zingine nazo ni kituko. Mtu anataka kujiua, si afe tu?
 
Back
Top Bottom