A
Anonymous
Guest
Tunaiomba JamiiForums kutusaidia kupaza sauti kwa idara ya maji MWANZA (MWAUWASA)kwani ni mkoa ambao pamoja na kua na ziwa lakini maji yanatoka Jumatano au Alhamis pekee tena either usiku wa manane au mchana kitu ambacho inakuwa vigumu kwa kila raia kumudu kuhifadhi maji kwa week nzima, na imekuwa ni kama sheria kwetu hapa mtaani.
Pia soma
- MWAUWASA: Mwanza hakuna changamoto ya uhaba wa huduma ya maji, mteja mwenye changamoto awasiliane nasi
www.jamiiforums.com
Pia soma
- MWAUWASA: Mwanza hakuna changamoto ya uhaba wa huduma ya maji, mteja mwenye changamoto awasiliane nasi
√ - News Alert: - Waziri Aweso amtimua kazi Meneja wa RUWASA wilaya ya Misungwi Marwa Kisibo, kutokana na kushindwa kusimamia miradi ya maji ipasavyo
AWESO ATEKELEZA MAAGIZO YA DKT NCHIMBI MISUNGWI,AMUONDOA MENEJA WA RUWASA WILAYA MISUNGWI - MWANZA Waziri wa Maji Mhe Jumaa Aweso amemuondoa katika nafasi yake Meneja wa RUWASA wilayani Misungwi Mhandisi Marwa Kisibo kutokana na kutosimamia utekelezaji wa miradi ipasavyo katika wilaya yake...