Torra Siabba
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 243
- 287
Ilipo Stand ya Igombe, Mtaa wa Posta Jijini Mwanza jirani yake kuna chemba ya kusafirisha maji machafu (Mavi) sasa chemba imefumuka ina wiki sasa.
Eneo lile linatoa harufu ile mbaya, maji yanatiririka kiasi kwamba kuna chembechembe za vinyesi ambazo zinaonekana na kuhatarisha afya za watu ikizingatia kwamba mtu ni Afya, inatishia mlipuko wa magonjwa mbalimbali ikiwemo Kipindupindu.
Hivyo, tunawaomba Mamlaka wasaidie kuhakikisha kwamba ile chemba inakuwa sawa au wanasubiri magonjwa yaanze kusambaa kisha ndio waanza kukimbizana kutafuta tiba!
Eneo lile linatoa harufu ile mbaya, maji yanatiririka kiasi kwamba kuna chembechembe za vinyesi ambazo zinaonekana na kuhatarisha afya za watu ikizingatia kwamba mtu ni Afya, inatishia mlipuko wa magonjwa mbalimbali ikiwemo Kipindupindu.
Hivyo, tunawaomba Mamlaka wasaidie kuhakikisha kwamba ile chemba inakuwa sawa au wanasubiri magonjwa yaanze kusambaa kisha ndio waanza kukimbizana kutafuta tiba!