Mwanza: Mgambo wawapiga wafanyabiashara katika Soko la Mbugani

Mwanza: Mgambo wawapiga wafanyabiashara katika Soko la Mbugani

Jimmy ally

Senior Member
Joined
May 11, 2017
Posts
156
Reaction score
279
Mwanza mida ya saa 1&2 usiku mgambo waliingia katka soko la Mbugani walikohamishiwa machinga na akina mama wauza mbogamboga na samaki, na kuwapiga waliokuwa wamepanga mbogamboga pamoja na samaki, na kupigwa pamoja na kumwagiwa bihashara zao pamoja na kunyanganywa samaka.

Katika tukio ilo wawil walipigwa mpaka kuzimia kwa kumwaga damu nyingi pamoja watatu kuvunjika miguu, walipelekwa hospitali ya Bugando, sababu kuu ikiwa eti hawajapanga juu ya meza.

 
Sawa wanakuja waume na wake zao na mamlaka husika!
 
Mgambo kwa sifa tena

Kama nawaona vile😂

Ova
 
Safi sana,mgambo ongezeni kichapo ili Hawa WANYONGE wajue maana ya uchaguzi nini,
 
Hii operation naona jiji la mwanza ndio huwa wanakua seriously kuliko kwingine. Dar sahivi ni kama wametoa alert tuu waendelee na biashara
 
Back
Top Bottom