Mwanza: Michango shule ya msingi Kilimahewa tishio

Mwanza: Michango shule ya msingi Kilimahewa tishio

Kalebejo

Member
Joined
Sep 24, 2022
Posts
9
Reaction score
4
Kwanza Kabisa nampongeza Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa jitihada zake za kuboresha mazingira ya shule za msingi nchini lakini ninachotaka kusema ni kuwa waziri wako wa elimu ameshindwa kabisa kufikia matamanio yako ya kuona watoto wa watanzania wanyonge wanapata elimu bora kama watoto wao.

Shule ya Msingi Kilimahewa iliyopo kata ya Nyamanoro wilaya Ilemela mkoa wa Mwanza ni moja ya shule sasa huo sio ufisadi bali ni wizi kabisa watoto kila siku wanapigwa kisa pesa ya maji, tuisheni na pesa ya usafi na hali hiyo sasa watoto wengi hawafiki shule kutokana na wazazi wao kutowapatia pesa na wao ndio wanaadhibiwa.

Je, ni haki? Kwanini wasiadhibu wazazi ambao wanatafuta pesa?

Wasalamu
 
Kwanza Kabisa nampongeza Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa jitihada zake za kuboresha mazingira ya shule za msingi nchini lakini ninachotaka kusema ni kuwa waziri wako wa elimu ameshindwa kabisa kufikia matamanio yako ya kuona watoto wa watanzania wanyonge wanapata elimu bora kama watoto wao.

Shule ya Msingi Kilimahewa iliyopo kata ya Nyamanoro wilaya Ilemela mkoa wa Mwanza ni moja ya shule sasa huo sio ufisadi bali ni wizi kabisa watoto kila siku wanapigwa kisa pesa ya maji, tuisheni na pesa ya usafi na hali hiyo sasa watoto wengi hawafiki shule kutokana na wazazi wao kutowapatia pesa na wao ndio wanaadhibiwa.

Je, ni haki? Kwanini wasiadhibu wazazi ambao wanatafuta pesa?

Wasalamu
Watanzania bado tuna safari ndefu kwa kweli.Ila Kaa tu ukijua kuwa hakuna maendeleo bila kuyachangia.Vya bure havijawahi kutosheleza mahitaji
 
Kwanza Kabisa nampongeza Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa jitihada zake za kuboresha mazingira ya shule za msingi nchini lakini ninachotaka kusema ni kuwa waziri wako wa elimu ameshindwa kabisa kufikia matamanio yako ya kuona watoto wa watanzania wanyonge wanapata elimu bora kama watoto wao.

Shule ya Msingi Kilimahewa iliyopo kata ya Nyamanoro wilaya Ilemela mkoa wa Mwanza ni moja ya shule sasa huo sio ufisadi bali ni wizi kabisa watoto kila siku wanapigwa kisa pesa ya maji, tuisheni na pesa ya usafi na hali hiyo sasa watoto wengi hawafiki shule kutokana na wazazi wao kutowapatia pesa na wao ndio wanaadhibiwa.

Je, ni haki? Kwanini wasiadhibu wazazi ambao wanatafuta pesa?

Wasalamu
Changia elimu acha uswahili
 
Back
Top Bottom