Mwanza mjini kuna shule haina madawati na Wanafunzi wanakaa zaidi ya 200 darasani? Nimeshangaa kupita maelezo!

Mwanza mjini kuna shule haina madawati na Wanafunzi wanakaa zaidi ya 200 darasani? Nimeshangaa kupita maelezo!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Nimeona kupitia Star tv Mkuu wa Wilaya Mh Makilagi akiwataka Wananchi wajitolee kuchimba Misingi ya madarasa halafu wahisani wa kujenga watatafutwa

Makilagi alikuwa kwenye Shule ya Msingi inayotumia Jina la Kiongozi mmoja Mkuu hapa nchini

Makilagi amesema katika Shule hiyo Wanafunzi 250 wanatumia darasa Moja kwa Wakati mmoja

Nimeshangaa kupita maelezo

Kwaresma njema!
 
Kuna lizee limoja lilopita linakwambia pesa ya ndani inajenga.
Kuna hospitali x imejengwa na.msaada wa USAID alafu linajisifu mapato ya ndani
 
Shetani, kumbe kaka yake Shetani, si uitaje jina kama sio uongooo au bado unamuogopa mwamba japo hayupo.
Kwa ajili gani.mkielezwa kuhusu alikuwa mtu wa ovyo mnabisha ,mtapata kujionea sio kutafuniwa na kumezeshwa
 
thamani ya v8 moja unatengeneza shule yenye madarasa 10 na v8 nyingine unanunulia vitabu na kuchonga madawati,,
 haihitaji akili kubwa kutambua ujinga wa kiongozi
 
Nimeona kupitia Star tv Mkuu wa Wilaya Mh Makilagi akiwataka Wananchi wajitolee kuchimba Misingi ya madarasa halafu wahisani wa kujenga watatafutwa....
Mbona hukushangaa fedha za pre bargain kufichwa China! Na kali zaidi Mwigulu anamdanganya Rais fedha za benki kuu zimejenga madarasa kumbe zimehamishiwa Seychelles na badala yake anakopa kutoka nje!
 
Mbona hukushangaa fedha za pre bargain kufichwa China! Na kali zaidi Mwigulu anamdanganya Rais fedha za benki kuu zimejenga madarasa kumbe zimehamishiwa Seychelles na badala yake anakopa kutoka nje!
Labda tujiulize Vyama vya Upinzani vinapata wapi pesa?!
 
Nimeona kupitia Star tv Mkuu wa Wilaya Mh Makilagi akiwataka Wananchi wajitolee kuchimba Misingi ya madarasa halafu wahisani wa kujenga watatafutwa...
Kwani we John umeshangaa tu Mwanza? Dar karibu shule zote za pembezoni mwa mji watoto wengi wanakaa chini hadi sekondari na ole wake aende mwandishi wa habari atakiona cha mtema kuni na mkuu wa shule hiyo atajuta.
 
Nimeona kupitia Star tv Mkuu wa Wilaya Mh Makilagi akiwataka Wananchi wajitolee kuchimba Misingi ya madarasa halafu wahisani wa kujenga watatafutwa

Makilagi alikuwa kwenye Shule ya Msingi inayotumia Jina la Kiongozi mmoja Mkuu hapa nchini

Makilagi amesema katika Shule hiyo Wanafunzi 250 wanatumia darasa Moja kwa Wakati mmoja

Nimeshangaa kupita maelezo

Kwaresma njema!
Hii shule iko sayari gani maana tumejenga madarasa mengi kila shule kwa fedha za COVID - 19?

Otherwise tuambiwe, zile TZS 1.3trn za COVID - 19 zilijenga madarasa ktk shule zipi Kwani?
 
Labda tujiulize Vyama vya Upinzani vinapata wapi pesa?!
Serikali ya kishenzi sana hii! Polisi wake, usalama wa Taifa wake, DPP wake, mahakama yake halafu unauliza swali la kijinga kama hilo!

Yaani serikali imeshindwa kuchunguza?

Shithole!
 
Nimeona kupitia Star tv Mkuu wa Wilaya Mh Makilagi akiwataka Wananchi wajitolee kuchimba Misingi ya madarasa halafu wahisani wa kujenga watatafutwa

Makilagi alikuwa kwenye Shule ya Msingi inayotumia Jina la Kiongozi mmoja Mkuu hapa nchini

Makilagi amesema katika Shule hiyo Wanafunzi 250 wanatumia darasa Moja kwa Wakati mmoja

Nimeshangaa kupita maelezo

Kwaresma njema!
Hapo mkuu wa wilaya kaenda na V8 mpya kabisa kuongea hayo.
Hata aibu hawaoni
 
Back
Top Bottom