Mwanza: Mkutano wa hadhara wa CCM viwanja vya Furahisha wadoda

Hata sijui unaandika nini ! Jiwe ambaye hakuwahi kuwa hata katibu kata anawezaje kuondoka na ccm ?
Huo ndo ukweli yaani sahivi ccm na chadema hawapishani,
 hata huyo lissu ukiachilia ubunge aliokuwa nao uliopelekea akatunguliwa shaba, hana tena jipya kwenye siasa za sahivi,
ni porojo tu za kujitafuta
 
uwo ndo ukweli yaani sahivi ccm na chadema hawapishani
 hata huyo lissu ukiachilia ubunge aliokuwa nao uliopelekea akatunguliwa shaba hana tena jipya kwenye siasa za sahivi
ni porojo tu za kujitafuta
Umeishia darasa la ngapi ?
 
Hata sijui unaandika nini ! Jiwe ambaye hakuwahi kuwa hata katibu kata anawezaje kuondoka na ccm ?
Kwa hiyo Erythrocyte umegeuka mwana CCM?

Kisa sasa mbalambishwa asali(ila sio wewe)
Mwenyekiti na waxito,wewe unalamba wino wa keyboard kama upo!

CCM iliyoko mioyoni mwa watanzania kwa sasa sio hii ya rafiki zenu kina Kinana!

Hao pia wanaelewa hilo,ndio maana sasa mmeungana mnapigana na kaburi lake Magufuli!

Pia angalia hii!
View attachment 2506537
 
Nilicho kishudia nikuwa hapakuwa na vibe kama la Chadema.Watu walikuwa hawana furaha
Chadema ilikuwa kitaifa!

CCM leo ilikuwa ki Jimbo zaidi.

Vibe la nini,watu wanataka sera na hoja na sio vibe la mwenyekiti Mbowe kuhutubia amelewa utafikiri ni Fiesta
 
Ungejua nisivyoipenda CCM hata usingesumbuka kunijibu maelezo mareeefu hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…